SHIZA KICHUYA KAWATUNGUA MAKIPA WATATU KWA MGUU WA KUSHOTO

    MOJA ya mabao bora ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 hata ukitaja mawili,huwezi liweka kando alilofunga mzawa Shiza Kichuya anayekipiga Namungo mbele ya Yanga.

    Ni bao lenye majabu kati yale matatu aliyonayo aliweza kumtungua Diarra Djigui kwa mguu wa kushoto akiwa nje ya 18,Uwanja wa Mkapa.

    Tupo naye leo kwenye data kucheki namna mguu wake ulivyo na nguvu awapo uwanjani:-

    Mabao 3

    Kichuya ameanza kikosi cha kwanza mechi 14

    Hizi alianza kikosi cha kwanza

    Mzunguko wa kwanza

    Geita Gold

    Kagera Sugar

    Azam FC

    KMC

    Simba

    Yanga

    Prisons

    Mbeya Kwanza

    Coastal Union

    Mzunguko wa pili

    Geita Gold

    Dodoma Jiji

    KMC

    Ruvu Shooting

    Yanga

    Asisti 1

    Mguu wa kushoto 1 akiwa nje ya 18

    Mabao

    Katupia akiwa ndani ya 18 mabao 2

    Nje ya 18 katupia bao 1

    Mguu wa kushoto katupia mabao 3

    Timu alizozifunga

    Geita Gold

    KMC

    Yanga

    Previous articleAIR MANULA:TUMEJISKIA VIBAYA KUTOLEWA KIMATAIFA
    Next articleKOCHA SIMBA AFANYA KIKAO NA WACHEZAJI WOTE KISA YANGA