SHIZA KICHUYA KAWATUNGUA MAKIPA WATATU KWA MGUU WA KUSHOTO

MOJA ya mabao bora ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 hata ukitaja mawili,huwezi liweka kando alilofunga mzawa Shiza Kichuya anayekipiga Namungo mbele ya Yanga.

Ni bao lenye majabu kati yale matatu aliyonayo aliweza kumtungua Diarra Djigui kwa mguu wa kushoto akiwa nje ya 18,Uwanja wa Mkapa.

Tupo naye leo kwenye data kucheki namna mguu wake ulivyo na nguvu awapo uwanjani:-

Mabao 3

Kichuya ameanza kikosi cha kwanza mechi 14

Hizi alianza kikosi cha kwanza

Mzunguko wa kwanza

Geita Gold

Kagera Sugar

Azam FC

KMC

Simba

Yanga

Prisons

Mbeya Kwanza

Coastal Union

Mzunguko wa pili

Geita Gold

Dodoma Jiji

KMC

Ruvu Shooting

Yanga

Asisti 1

Mguu wa kushoto 1 akiwa nje ya 18

Mabao

Katupia akiwa ndani ya 18 mabao 2

Nje ya 18 katupia bao 1

Mguu wa kushoto katupia mabao 3

Timu alizozifunga

Geita Gold

KMC

Yanga