KIUNGO WA SIMBA JEAN AHOUA BADO HAJAELEWEKA

NDANI ya kikosi cha Simba mtambo wa kutengeneza mabao ni Jean Ahoua ambaye haeleweki kutokana na kiwango chake kuwa cha kupwa na kujaa lakini ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ipo wazi kwamba Simba kwenye ligi ni namba moja katika msimamo ikiwa na pointi 40 baada ya kucheza mechi 15 ni namba…

Read More

MITAMBO YA PENALTI SIMBA HII HAPA

 SIMBA imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2022/23 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 31. Kweye mabao hayo ni mawili yamefungwa kutokana na penalti ilikuwa dhidi ya Geita Gold ambapo mtupiaji alikuwa ni Clatous Chama. Aliyesababisha penalti hiyo ni Augustino Okra kisha penalti ya pili ilikuwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga walipocheza na Coastal…

Read More

YANGA WABANISHA UGUMU KUWAKABILI AL HILAL

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Yanga 1-1 Al Hilal. Alfajiri ya leo Oktoba 15,2022 kikosi cha Yanga kinachonolewa…

Read More

AZAM FC YAKOMBA POINTI, FEI ATUPIA

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum amefikisha mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuongeza akaunti yake ya mabao. Bao hilo alifunga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara walipocheza dhidi ya Mtibwa Sugar. Ilikuwa ni siku mbaya kazini kwa Mtibwa Sugar abaada ya kuyeyusha pointi tatu ugenini na kichapo kikubwa wakapokea. Novemba 24…

Read More

YANGA V AZAM FC FAINALI

YANGA imetinga hatua ya fainali ya CRDB Federation Cup kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Ni dakika ya 104 bao la ushindi kwa Yanga limefungwa na Aziz KI katika mchezo wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Ni fainali ya nne kwa Yanga katika CRDB Federation Cup wanakwenda…

Read More

KIMATAIFA: AL MERRIKH 0-0 YANGA

KAZI kubwa inafanywa na wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ni mchezo wenye ushindani mkubwa ikiwa ni kipindi cha kwanza na ubao unasoma Al-Merrikh SC 0-0 Yanga. Yanga ipo na kijiji kikubwa cha mashabiki nchini Rwanda ambao walitoka Dar na wapo wale wakazi wa Rwanda ambao…

Read More

MUGALU NA LWANGA WAONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA PABLO

RASMI Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, amemuondoa mshambuliaji Chris Mugalu na kiungomkabaji, Taddeo Lwanga katika mfumo wake kuelekea Kariakoo Dabi itakayowakutanisha Simba dhidi Yangakesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Nyota hao wote wapo nje ya uwanja kwa muda mrefu wakiuguza majeraha ya goti wote wawili. Mmoja wa mabosi kutoka ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo, ameliambia Championi Ijumaa kuwa wachezaji…

Read More

Mchezo wa Kasino Wenye Jackpot Kubwa Upo Meridianbet

Hatimaye Meridianbet Kasino Mtandaoni imekuja na mchezo mwingine wa matunda ambao kiukweli kama ukianza kucheza huwezi kujutia muda wako, mchezo huu wa 20 Imperial Crown utakupatia bonasi kibao na faidia kubwa sana ya dau lako unalocheza. 20 mperial Crown Deluxe Sifa Zake 20 Imperial Crown Deluxe kasino mtandaoni wenye safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu…

Read More

PAPE SAKHO HUYO ULAYA

RASMI Simba SC imefikia makubaliano na Klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumuuza mchezaji Pape Sakho. Kiungo huyo ni miongoni mwa viungo bora wenye mambo mengi ndani ya uwanja akiwa na mtindo wa ushangiliaji wa kunyunyiza. Moja ya mabao aliyofunga ndani ya Simba ilikuwa dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya…

Read More

STARS YASEPA NA POINTI DHIDI YA UGANDA UGENINI

KAZI kubwa kwa vijana imefanywa kupambania nembo ya Tanzania na kufanikiwa kupata ushindi. Ubao wa Uwanja wa Suez Canal huko Ismailia Misri baada ya dakika 90 umesoma Uganda 0-1 Tanzania. Bao pek Ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast ambapo timu zotezinasaka pointi tatu. Mchezo ambao upo wazi kwa timu zote kupata…

Read More

YANGA WAPANIA KUBEBA UBINGWA,MSAKO WAO UPO HIVI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu zao ni kuweza kupata pointi tatu kwenye mechi zinazofuata za ligi ikiwa ni pamoja na mechi ijayo dhidi ya KMC inayotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Injinia Hersi Said amefichua siri mbili ambazo wanazitumia kusaka ubingwa msimu huu waliodhamiria huku akibainisha kuwa ni lazima wabebe taji la Ligi Kuu…

Read More