Home Sports MTAMBO WA MABAO YANGA CAF KAMILI GADO Sports MTAMBO WA MABAO YANGA CAF KAMILI GADO April 3, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MTAMBO wa mabao ndani ya Yanga kwenye anga za kimataifa Pacome ni miongoni mwa wale ambao wapo kwenye kikosi kilicho tayari kupambania nembo ya timu Aprili 5 2024 mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns