Skip to content
KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum amefikisha mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuongeza akaunti yake ya mabao.
Bao hilo alifunga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara walipocheza dhidi ya Mtibwa Sugar.
Ilikuwa ni siku mbaya kazini kwa Mtibwa Sugar abaada ya kuyeyusha pointi tatu ugenini na kichapo kikubwa wakapokea.
Novemba 24 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 5-0 Mtibwa Sugar.
Mabao matatu yalifungwa na Kipre aliyesepa na mpira wake huku Lusajo akitupia bao moja na Feisal Salum moja.
Anakuwa ni kinara kwa utupiaji ndani ya Azam FC ambayo inajikita nafasi ya pili na pointi 22 kibindoni.
Related News
Brayan Leon of Mamelodi Sundowns celebrates goal with teammates during the CAF Champions League 2025/26 1st leg match between Esperance and Mamelodi Sundowns at Stade Olympique de Rades in Rades, Tunisia on the 12 April 2026 ©Mehrez Toujani/BackpagePix