ANA NDOTO ZA KUREJEA UWANJANI MDAMU, ANAHITAJI MSAADA

NYOTA Gerald Mdamu aliyewahi kukipiga ndani ya Polisi Tanzania bado anapambania hali yake ili kurejea kwenye ubora wake mdogomdogo baada ya kuumia mguu walipopata ajali ya gari wakitokea mazoezini. Julai 9 2021 ilikuwa ni ganzi ya maumivu kwenye ulimwengu wa mpira baada ya ajali hiyo kutokea na mchezaji aliyeumia zaidi kuliko wote alikuwa ni Mdamu….

Read More

HAWA HAPA MAKOCHA WAPYA SIMBA

RASMI uongozi wa Simba umewatambulisha makocha wapya watatu ambao watakuwa na kikosi hicho kutimiza majukumu yao kwenye mechi za kitaifa na kimataifa. Usiku wa kuamkia Novemba 28 makocha hao wametua Bongo na kupokelewa na viongozi wa Simba wakiongozwa na Mtendaji Mkuu Imani Kajula. Timu hiyo ilisitisha mkataba wa Roberto Oliveira Novemba 7 muda mfupi baada…

Read More

AZAM FC WAKIMBIZA DAKIKA 270

NDANI ya dakika 270 kwenye mechi tatu za ligi, Azam FC wamekimbiza kwa kukomba pointi zote tisa walizokuwa wakisaka ndani ya uwanja. Chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kwenye mechi tatu mfululizo ilikuwa ni kicheko kwao huku maumivu yakiwa kwa wapinzani wao. Ilianza na kete ya ugenini ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa…

Read More

DULLAH MBABE KAPIGWA TENA NA UBABE WAKE

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe ameendelea kuwa mteja wa mpinzani wake Tshimanga Katompa raia wa DR Congo kufuatia kukubali kichapo kwa mara ya pili mfululizo. Katika pambano hilo ambalo limepigwa juzi usiku kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha chini ya promosheni ya Red in Lady Promotion inayoongozwa…

Read More

BOSI SIMBA AMEFUNGUKA MWENDO WA TIMU NA UGUMU ULIOPO

MENEJA wa idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mwendo ambao wanakwenda nao kwenye mechi za kimataifa haujawa mzuri jambo linalowaongezea ugumu kupata matokeo kwenye mechi zijazo. Timu hiyo Novemba 25 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Hatua ya Makundi….

Read More

BODI YA FILAMU YAKAMILISHA MCHUJO TUZO 2023

BODI ya Filamu Tanzania imekamilisha mchujo wa pili wa filamu ambazo zitakwenda kushindaniwa katika kupata washindi wa Tamasha la tuzo za Filamu kwa mwaka 2023. Katibu Mkuu wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msingwa alisema kuwa Tuzo za Filamu Tanzania zimechochea uanzishwaji wa tuzo nyingine hapa nchini, ikiwemo zile za wadau kupitia vyama ambavyo wamevianzishwa…

Read More

MWANZO MBAYA KIMATAIFA IWE NI SOMO KWA VITENDO

WAWAKILISHI wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa nyumbani na ugenini hakuna ambaye ameanza kwa mwendo mzuri.Ipo wazi kuwa ni mwendo mbovu wameanza nao kwa kushindwa kupata matokeo. Kutokana na kuanza hivyo kwa kushindwa kushinda huku wachezaji wakionekana kutotumia nafasi wanazotengeneza ni muhimu kutumia ubovu huo kuwa darasa huru kwenye mechi zinazofuata. Yanga na Simba katika…

Read More

SIMBA WASIKITIKIA MATOKEO YAO KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa matokeo ambayo wameyapata kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas sio mazuri kwa upande wao kwa namna yoyote. Novemba 25 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi. Kwenye msako wa pointi tatu Simba ilikomba moja ikiwa nyumbani na kupoteza pointi…

Read More

UKUTA WA SIMBA KUSUKWA UPYA

WAKIWA kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy benchi la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa kila idara makosa yake yanafanyiwa kazi. Miongoni mwa sekta ambazo zinafanyiwa kazi ni pamoja na ile ya ukuta chini ya Che Malone, Kennedy Juma, Shomary Kapombe na Mohamed Hussein unasukwa upya kuwa na…

Read More

KAZI BADO IPO KWA MASTAA HAWA YANGA NA SIMBA KIMATAIFA

KUNA mambo mengine ni magumu kuyafanya sio kama sikukuu ya kumbukizi ya kuletwa duniani, ukiwa na keki inafanyika. Haina maana haiwezekani inawezekana kwa kuamua kufanya kweli, hivyo tu basi. Mastaa wa Yanga na Simba kwenye mechi za ligi ya ndani wamekuwa wakifanya kweli, anga la kimataifa ushindani unakuwa tofauti hivyo ni lazima waamue kufanya kweli…

Read More

SIMBA WATOSHANA NGUVU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mashuhuda wakigawana pointi mojamoja na  wapinzani wao ASEC Mimosas wakiwa nyumbani. Licha ya kuanza kupachika bao la kuongoza hali haikuwa njema kwa upande wao walitunguliwa pia bao kipindi cha pili na wapinzani wao. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-1 ASEC Mimosas mchezo…

Read More

MWAKA 1998 YANGA ALIMALIZA KUNDI BILA USHINDI WA MECHI YEYOTE

Nilichokiona kwenye mchezo wa kwanza wa Yanga hatua ya makundi, ni kwamba Yanga imekaribishwa rasmi kwenye Ligi ya Mabingwa baada ya kupita miaka 25 bila timu hiyo kufuzu hatua ya makundi. Meridianbet inatoa bonasi ya ukaribisho kwa wateja wote wanaojisajili kupitia Meridianbet APP, na tovuti. Takribani miaka 25 ipite Yanga kucheza hatua hiyo hakuweza kushinda…

Read More