
EPL, LA LIGA NA SERIE A KUENDELEA LEO WIKIENDI HII. DABI YA MANCHESTER KUNOGESHA WIKIENDI
Ni wikiendi ya kibabe katika kuuanza mwezi wa 3 mwaka huu wa 2022. Ni mwendo wa ‘Big Match’ kunako EPL na Serie A. Mbio za Top 4 vs vita ya kuwania Scudetto, Meridianbet mambo ni moto!!! Alaves vs Sevilla kufungua duru ya burudani wikiendi hii. Huu ni msimu ambao Sevilla wanaonesha nia thabiti ya kuwania…