
SIMBA; MASHABIKI KUFIKA UWANJANI NI MATENDO YA LAZIMA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa miongoni mwa matendo ya lazima kwa mashabiki wa Simba ambao wana afya njema na mapenzi na timu hiyo ni kufika uwanjani Machi 29 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Uwanja wa Mkapa hatua ya robo…