Home Sports SIMBA YAIATAKA NUSU FAINALI, KUBADILIKA NA AL AHLY

SIMBA YAIATAKA NUSU FAINALI, KUBADILIKA NA AL AHLY

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umechoka kuishia hatua ya robo fainali mara kwa mara hivyo safari hii katika Ligi ya Mabingwa Afrika mpango mkubwa ni kutinga nusu fainali na wataanza kupambana na Al Ahly kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Machi 29 Uwanja wa Mkapa

Previous articleAZAM FC YAREJEA CHIMBO
Next articleYANGA: USHINDI WETU KIMATAIFA TUNALIHESHIMISHA TAIFA