UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umechoka kuishia hatua ya robo fainali mara kwa mara hivyo safari hii katika Ligi ya Mabingwa Afrika mpango mkubwa ni kutinga nusu fainali na wataanza kupambana na Al Ahly kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Machi 29 Uwanja wa Mkapa