KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns, Yanga wameweka wazi kuwa ushindi wao unakwenda kuliheshimisha taifa la Tanzania kwenye anga la kimataifa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Machi 30 2024 Uwanja wa Mkapa ambapo kiingilio mzunguko ni bure.