SIMBA WATAJA MIPANGO YAO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza ikiwa ni mchezo dhidi ya Yanga. Kariakoo Dabi inatarajiwa kuchezwa Aprili 20 2024 ambapo Yanga walimabingwa watetezi watawakaribisha Simba. Simba imetoka kupata pointi moja dhidi ya Ihefu kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Liti. Ahmed Ally, Meneja wa…

Read More

AZAM FC WAIKANDA NAMUNGO NYUMBANI

USHINDI waliopata Azam FC kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukisoma Namungo 0-2 Azam FC unawaongezea nguvu kubaki nafasi ya pili ndani ya msimamo wa Ligi Kuu Bara. Matajiri wa Dar, Azam FC wameikanda Namungo ikiwa nyumbani mzunguko wa pili na kulipa kisasi cha kufungwa mzunguko wa kwanza walipokuwa Uwanja wa Azam Complex. Mabao…

Read More

Kasino ya Fruit Salad 100 Ushindi 95.06%

Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Merdianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za ushindi.   Fruit Salad 100 ni kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Gaming Global. Katika mchezo huu, kuna ishara mbili maalum. Majokeri…

Read More

YANGA YAPETA SPORTPESA DABI

YANGA wanaondoka na faida ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni kwenye SportPesa Dabi Yanga wameibuka wababe kwa kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo baada ya dakika 90. Joseph Guede ameandika rekodi ya kufunga mabao mawili dakika ya 41 na dakika ya…

Read More

KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umebainisha kwamba kipa wao namba moja Beno Kakolanya ametoroka kambini. Taarifa iliyotolewa na Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara imebainisha kuwa kipa huyo ametoroka muda mfupi wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. “Klabu ya Singida Fountain Gate inasikitishwa na kitendo cha mchezaji wetu…

Read More

Anza Jumapili yako na Ukiwa na Meridianbet

Mitanange kibao kutoka ligi mbalimbali, pia leo hii utamu wa soka bado unaendelea na wewe una nafasi ya kujiweka kwenye mamilionea kirahisi sana. Suka jamvi lako na ubashiri sasa. Kama kawaida ligi penwa yani EPL kutakuwa na mechi za pesa, Liverpool baada ya kutoka sare mchezo uiopita, leo hii atakuwa Anfield kukiwasha dhidi ya Crystal…

Read More

SIMBA NGOMA NGUMU MBELE YA IHEFU

NGOMA imekuwa ngumu kwa Simba kuambulia pointi tatu kama ilivyo kwa Ihefu ambao nao wamekwama kubaki na ushindi wakiwa nyumbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Liti umesoma Ihefu 1-1 Simba ambapo waligawana vipindi kile cha kwanza ilikuwa ni mali ya Ihefu na kipindi cha pili Simba….

Read More

YANGA KAMILI KUWAVAA SINGIDA FOUNTAIN GATE, SPORTPESA DABI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni SportPesa Dabi itakuwa kwa wababe hao wote wawili mzunguko wa pili wakiwa wanadhaminiwa na Kampuni ya SportPesa. Gamondi amebainisha kuwa wanatambua ugumu uliopo kutokana na kuwa na…

Read More

Tandika Jamvi Lako na Meridianbet Leo

Jumamosi hii ya leo mechi mbalimbali kupigwa yani namaanisha viwanja mbalimbali leo hii vitashuhudia mitanange ya hatari. Na wewe una nafasi ya kukusanya maokoto ukbashiri na meridianbet. Tengeneza mkeka wako wa maana leo ujishindie mkwanja safi. Pale LALIGA mapema kabisa ya saa 9:00, Atletico Madrid dhidi ya Girona ambapo timu hizi zinafatana kwenye msimamo wa…

Read More

SIMBA YAANDIKA REKODI HII TATU BORA

KLABU ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha imeandika rekodi yake ndani ya tatu bora kwa kuwa timu iliyoruhusu mabao mengi yakufungwa. Ipo wazi kuwa Simba inatarajiwa kutupa kete yake nyingine leo Aprili 13 dhidi ya Ihefu mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti, Singida. Wachezaji wa Simba wanaonekana kutokuwa imara…

Read More

CHEKI RATIBA YA LIGI LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Aprili 13 2024 inaendelea kwa timu kusaka pointi tatu ndani ya uwanja baada ya dakika 90. Wababe Geita Gold watakuwa nyumbani Uwanja wa Nyankumbu kusaka pointi dhidi ya Mtibwa Sugar ambao nao wanazihitaji pia pointi tatu. Ihefu watawakaribisha Simba, Uwanja wa Liti kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Tabora United…

Read More

AZAM FC NDANI YA LINDI KUWAKABILI NAMUNGO

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wametia timu ndani ya Lindi ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo. Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Jumapili, Aprili 14 2024. Ikumbukwe kwamba kweye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex,…

Read More

SIMBA INAFIKIRIA BADO UBINGWA WA LIGI

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba hesabu zao bado zipo palepale kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa bado kuna nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi. Simba ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo ikiwa na pointi 45 baada ya kucheza mechi 19 vinara ni Yanga wenye pointi 52. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed…

Read More