EPL IMEREJEA KAZI KWAKO KUSHINDA MKWANJA

Ligi kuu ya Uingereza EPL inarejea leo ambapo klabu ya Manchester United inacheza na Fulham katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu ya Uingereza msimu wa 2024/25.   Manchester United watakua kwenye uwanja wao nyumbani leo pale Old Trafford wakijitahidi kuhakikisha wanauanza msimu mpya vizuri kwa matokeo ya ushindi dhidi ya Fulham ambayo nayo imeimarisha…

Read More

MKALI ONANA JIONI KABISA AMEKUTANA NA THANK YOU

MWAMBA Willy Onana hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba msimu wa 2024/25 baada ya kukutana na Thank You jioni kabisa kutoka kwa waajiri wake hao. Ipo wazi kwamba Onana anashikilia rekodi ya kuwa mfungaji wa mwisho msimu wa 2023/24 alifanya hivyo katika mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambao ulikuwa ni wa…

Read More

BABA YAKE NYOTA WA BARCELONA LAMINE YAMAL ACHOMWA KISU

Baba wa nyota wa soka wa Uhispania Lamine Yamal mwenye umri wa miaka 17 ameripotiwa kuchomwa kisu mara kadhaa kwenye eneo moja la maegesho ya magari. Kulingana na ripoti katika vyombo vya habari vya Uhispania, Mounir Nasraoui alishambuliwa katika mji wa pwani wa Mataró, kaskazini mwa Barcelona, ​​Jumatano usiku na kundi la watu aliozungumza nao…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE SIO KINYONGE

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa kwa msimu wa 2024/25 wataanza kazi kwa nguvu na sio kinyonge kwenye mechi tano za mwanzo ndani ya Ligi Kuu Bara. Ipo wazi kwamba msimu wa 2023/24 haukuwa bora kwa timu hiyo iliyogotea nafasi ya 11 baada ya mechi 30 ilikomba pointi 33 ilishinda mechi 8 iliambulia…

Read More

PAZIA LA LIGI KUU BARA LINAFUNGULIWA

BAADA ya maandalizi ya msimu wa 2024/25 kukamilika kwa timu zote ndani ya Bongo sasa pazia la Ligi Kuu Bara linakwenda kufunguliwa ikianza mzunguko wa kwanza ndani ya ligi. Ipo wazi kwamba mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga ilitwaa taj hilo likiwa ni la 30. Baada ya kucheza mechi 30 ni pointi 80 zilikuwa kibindoni…

Read More

GAMONDI AWAPA TANO MASTAA WAKE

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amewapa tano mastaa wake ikiwa ni pamoja na Clement Mzize, Duke Abuya, Dickson Job kwa kushirikiana kuanza na taji la Ngao ya Jamii kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Azam FC. Katika mchezo huo uliochezwa Agosti 11 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 4-1 Azam FC…

Read More

AWESU AWESU WA SIMBA ATAMBULISHWA KMC

NYOTA Awesu Awesu rasta aliyetambulishwa kuwa kwenye changamoto mpya msimu wa 2024/25 ndani ya kikosi cha Simba kinachoolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.. Alitambulishwa kuwa mali ya Simba Julai 17 akitokea KMC, alijiunga na timu kambini Misri Julai 17 alicheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki Simba Day,Agosti 3 na ametambulishwa kwa mara nyingine kurejea KMC,Agosti…

Read More

MWAMBA KUTOKA MWANZA MWANZA AMEACHIA ZAWADI HII

LEGEND kwenye muziki Bongo Fareed Kubanda ambaye ni mzawa kutoka Mwanza ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la Simba. Kazi hiyo ameiachia muda mfupi ikiwa ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani Agosti 13 ambapo kwenye nyimbo yake ya Agosti 13 akiwa na Salam Jay na Juma Nature alibainisha kuwa alizaliwa katika Hospital ya Bugando, Mwanza….

Read More