KINYAGO WA SIMBA: TUTAFANYA KWELI UWANJA WA MKAPA

BAADA ya kupoteza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika wa hatua ya robo fainali ya kwanza, Uwanja wa Suez Canal, Misri, shabiki wa Simba maarufu kwa jina la Kinyago wa Simba wa Tabata amebainisha kuwa wanaamini mchezo wao ujao dhidi ya Al Masry, Uwanja wa Mkapa watafanya kweli na kutinga hatua ya nusu fainali….

Read More

FOUNTAIN GATE UKUTA WAO PASUA KICHWA

NDANI ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 kuna timu mbili ambazo ukuta wao kwenye eneo la ulinzi ni pasua kichwa kwa benchi la ufundi kutokana na kuruhusu mabao mengi uwanjani. Safu ya ulinzi namba moja ambayo imeruhusu mabao mengi ni Fountain Gate ambayo imetunguliwa jumla ya mabao 43 huku safu ya ushambuliaji ya…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika inaendelea mzunguko wa pili ambapo kuna wababe watakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90 za kazi. Ni JKT Tanzania iliyo nafasi ya 6 kwenye msimamo baada ya mechi 23 huku safu ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 18 na ukuta kuruhusu mabao…

Read More

URAHISI WA MAISHA NI KUCHEZA BLACKJACK LIVE

Mchezo wa Blackjack Live        Watengenezaji wa michezo ya kasino mtandaoni Expanse Studios, inakuletea mchezo rahisi kucheza na kushinda kupitia Meridianbet Kasino Mtandaoni, ukikutana na wachezaji wa Karata bila shaka watakutajia na huu mchezo kuwa ni pendwa Zaidi kwa wengi. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwa kutumia kibunda chenye…

Read More

SIMBA HESABU ZAKE KWA MKAPA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba katika Kombe la Shirikisho Afrika wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo wa pili wa robo fainali dhidi ya Al Masry unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza iliyochezwa Aprili 2 2025 Uwanja wa Suez Canal…

Read More

PACOME ANA BALAA HUYO

PACOME Zouzoua kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kila mechi ni ngumu wakiwa uwanjani wanapambana kufanya vizuri kupata matokeo ndani ya uwanja nyota huyo balaa lake sio dogo kutokana na kuwa katika ubora kwenye mechi anazocheza uwanjani. Aprili 2 2025 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ulisoma Tabora United 0-3…

Read More

BLACKJACK 2 USHINDI KWA KARATA 52!!

Blackjack ni mchezo wa kadi/karata wenye kuvutia sana, na mtoa huduma Playtech anatuletea blackjack Live ya PTR Blackjack 2 kupitia Meridianbet kasino ya mtandaoni, ambao utakupendeza. Katika sehemu inayofuata ya nakala hii, tutaelezea sheria na jinsi ya kucheza mchezo huu wa kuvutia. Kabla hatujaelezea mchezo wa PTR Blackjack 2, hebu tuzungumzie kidogo kuhusu mchezo wa…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AL MASRY, CAMARA NDANI

MOUSSA Camara kipa namba moja wa Simba amepangwa kuanza kikosi cha kwanza dhidi ya Al Masry mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Suez, saa 1:oo kwa saa za Afrika Mashariki. Simba inakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Al Masry mchezo wa hatua ya robo fainali ambapo mbali na Camara ni Chamou, Fabrince Ngoma, Jean Ahoua, Shomari…

Read More

YANGA YALIPA KISASI MBELE YA TABORA UNITED

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamevuna pointi tatu ugenini kwenye mchezo dhidi ya Tabora United ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili msimu wa 2024/25. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Novemba 7 2024 ubao ulisoma Yanga 1-3 Tabora United ambao…

Read More

SIMBA WANATAKA KUPATA BAO UGENINI KIMATAIFA

BENCHI la ufundi la Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, limeweka wazi kuwa mpango mkubwa kwenye mchezo wa ugenini hatua ya Kombe la Shirikisho Afrika robo fainali ni kuona kwamba wanapata bao ugenini. Huu ni mchezo wa mtoano ambapo kete ya kwanza Simba watakuwa ugenini na kete ya pili watakuwa Uwanja wa Mkapa, Aprili…

Read More