SIMBA NA MATUMAINI KIBAO KWA WACHEZAJI WAO

LICHA ya wachezaji wa Simba kutokuwa kwenye mwendo mzuri katika mechi za Ngao ya Jamii ungozi wa Simba umebainisha kwamba watakuwa bora katika mechi za ushindani kwa kuwa kuna vitu vidogo wamekosa vitafanyiwa kazi. Timu hiyo iliweka kambi Misri imepishana na taji la Ngao ya Jamii ikigotea nafasi ya tatu huku nafasi ya nne ikiwa…

Read More

AZAM FC: TULIKUWA BORA LICHA YAKUPOTEZA FAINALI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba licha yakupoteza mchezo wao wa fainali mbele ya Yanga bado walikuwa kwenye ubora katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Agosti 11 2024. Ipo wazi kuwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu,Miguel Gamondi ilitwaa ubingwa huo kwa ushindi wa mabao 4-1 katika fainali iliyokuwa na ushindani mkubwa. Hasheem Ibwe,…

Read More

YANGA WAMEANZA BALAA LAO HUKO

YANGA wameanza 2024/25 kwa kutwaa taji la Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa fainali uliochezwa Uwanja wa Mkapa Agosti 11 2024 ikiwa ni balaa lao kwenye kutwaa mataji yanayokuwa mbele yao. Katika fainali ambayo ilianza kwa kasi kubwa ni mabao matano yamefungwa kwenye fainali huku…

Read More

TENGENEZA MKWANJA NA KASINO YA MTANDAONI LEO

Maisha yako yapo mkononi mwako, ushindi wa kasino upo kiganjani mwako, cheza sloti ya Book of Eskimo inakupa urahisi wa kuishi kitajiri kwa dau dogo kabisa. Jisajili Meridiabet kuanzisha safari yako ya mafanikio. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi za mabingwa kuhusu juhudi zao za kushinda kirahisi, moja ya kitu kizuri kutoka Sloti…

Read More

Mzuka wa Mamilioni na Expanse Kasino

Ongeza Mzuka na michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, promosheni yenye kutoa Mamilioni kwa wachezaji wote. Jiunge na   Meridianbet kasino upate bonasi ya ukaribisho ya 300%.   Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na…

Read More

HAPA HAALAND PALE RASHFORD MOTO UTAWAKA

Leo kitapigwa kipute kikali kati ya Manchester City dhidi ya Manchester United katika mchezo wa Ngao ya hisani, Mchezo huu ndo utafungua njia ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza 2024/25.   Manchester City leo watashuka dimbani wakiwa wanapewa nafasi zaidi ya kushinda mchezo wa leo kutokana na ubora wa kikosi chao,…

Read More

AJALI YA NDEGE YAUWA WATU 61 BRAZIL

Ndege chapa ATR 72-500 inayomilikiwa na kampuni ya Voepass ilianguka jioni ya jana katika mji wa Vinhedo, wakati ikitokea jimbo la kusini la Parana kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Sao Paulo. Juhudi za kuipata na kuitambua miili zilikuwa zinaendelea hadi alfajiri ya leo. Mamlaka ya ajali za anga ya Brazil, CENIPA, imetangaza kuanza…

Read More