AMEKABIDHIWA MIKOBA MIGUMU SIMBA MWAMBA HUYU
AMEKABIDHIWA mikoba migumu ndani ya Simba mwamba Deborah kutokana na uzi atakaotumia kuwa na namba iliyoacha rekodi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.
AMEKABIDHIWA mikoba migumu ndani ya Simba mwamba Deborah kutokana na uzi atakaotumia kuwa na namba iliyoacha rekodi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.
Makocha wa Yanga na Simba wameelezea ugumu wa mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya timu hizo Agosti 8 wakitahadharisha kwamba klabu zao zitacheza kwa makini ili kupata ushindi. Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi na Fadlu Davids wa Simba wameeleza hayo Dar es Salaam leo wakati wakizungumza na waandishi wa habari…
JUMLA ya mashabiki nane wa soka watapata fursa ya kutembelea nchini Dubai endapo watashinda tiketi kupitia promosheni ya Dubai Kumenoga ilitoziduliwa na Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch kwa kushirikiana na Airtel Tanzania kupitia huduma za Airtel Money. Promosheni hiyo ni muendelezo wa kampeni kubwa iliyomalizika ya Zigo la Euro 2024 nchini Ujerumani ambapo mashabiki…
KAZI inaendelea ambapo tamasha lingine kubwa linatarajiwa kufanyika Uwanja wa Liti, Singida ikiwa ni utambulisho wa wachezaji wapya na benchi la ufundi. Ni Singida Black Stars wameweka wazi kuwa kutakuwa na burudani kubwa katika kilele cha Big Day,Uwanja wa Liti Agosti 10 2024 ambapo kutakuwa na mchezo wa kirafiki utakaokuwa na ushindani mkubwa. Hilo ni…
UONGOZI wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa mpango mkubwa uliopo kwa sasa ni kuelekea Tanzanite Day linalotarajiwa kufika kilele chake rasmi Agosti 9 2024 ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kila kitu kipo kwenye mpangilio wake. Maandalizi yamepamba moto kwa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara kukamilisha usajili wa…
Expanse na Meridianbet ni mapacha kwa sasa unaweza kuvuna Mamilioni kwa kucheza michezo ya kasino kutoka Expanse. Jisajili na Meridianbet kufurahia promosheni kibao Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo inaweza kukufanya kuwa Milionea….
Mwamuzi Elly Sasii amechaguliwa kuchezesha mechi ya Kariakoo Derby kati ya Young Africans dhidi ya Simba mnamo Agosti 8, 2024 katika dimba la Mkapa ➡️ Mwamuzi Ahmed Arajiga atachezesha mechi ya Azam dhidi ya Coastal Union mnamo Agosti 8, 2024.
Afisa mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania ( TPLB ), Almas Kasongo ameeleza kuwa msimu ujao watatoa adhabu kwa maofisa habari wa timu wanaochekesha na kushindwa kuzungumzia Mpira. “ Kuna Muda unamsikiliza Ofisa Habari wa timu na kujiuliza, huyu ni kiongozi wa timu au mchekeshaji? Niseme tu ndugu zangu, msimu ujao tutadili na watu…
Klabu ya PSG imeshinda mbio ya kuwania saini ya kiungo Joao Neves baada ya kukamilisha dili hilo kwa dau la Euro milioni 70 akitokea Benfica ya Ureno. Neves (19) raia wa Ureno amesaini mkataba wa miaka mitano. Baada ya kuwika na miamba hiyo ya Ureno msimu uliopita Manchester United na PSG walijikuta kwenye vita kali…
MVP wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Aziz Ki ameweka wazi kuwa kila baada ya mchezo mmoja kinachofuata ni maandalizi kwa mchezo ujao ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Yanga iliweka kambi Afrika Kusini ambapo ilialikwa kwenye mashindano maalumu ilitwaa Kombe la Toyota kwa ushindi wa mabao 4-0 baada ya dakika 90. Katika mchezo huo…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo Bongo kitaifa na kimataifa, Saleh Ally wengi wanapenda kumuita Jembe ameweka wazi kwamba ni muhimu Simba kumalizana vizuri na mchezaji wao Aishi Manula. Manula hayupo kwenye mpango na Simba kwa msimu wa 2024/25 jambo ambalo lilipelekea asitambulishwe kwenye kikosi siku ya Simba Day, Agosti 3 Uwanja…
Mchambuzi mahiri wa soka, Saleh Ally Jembe @salehjembefacts amesema mashabiki wa Simba waliomzomea mchezaji wao, Kibu Denis kwenye mechi dhidi ya APR ya Rwanda kwenye Simba Day, walikuwa sahihi kutokana na utovu wa nidhamu waliofanyiwa na mchezaji huyo. Saleh amesema Kibu Denis pia hakupaswa kucheza kwenye mechi hiyo kwani hakushiriki kwenye mazoezi ya pre-season kama…
Bara la Amerika ya Kusini lina nchi nyingi, kuna Brazil, Argentina ya Messi, Uruguay, Chile lakini kuna nchi moja inaitwa Mexico ina balaa sana. Balaa la nchi hiyo sio tu kwenye Biashara kama wengi wanavyoifahamu, lakini aina ya watu wanaoishi huku kama yule jamaa maarufu Pablo Escoba na wengine, kuna utamaduni wao mzuri tu. Na…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamerejea Dar mapema kabisa wakiwa na kombe walilotwaa Rwanda mbele ya Rayon Sports iliyowaalika ambapo siku hiyo ilikuwa rasmi kwa timu hiyo kufanya utambulisho wa wachezaji kuelekea msimu wa 2024/25. Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu Yusuph Dabo ilitwaa ubingwa wa Kombe ka Choplife baada ya kupata ushindi wa bao…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari za Michezo kitaifa na Kimataifa Saleh Ally wengi wanapenda kumuita Jembe ameweka wazi kuwa Kibu Dennis kiungo mshambuliaji wa Simba hakupaswa kucheza mchezo wa Simba Day. Ipo wazi kwamba Agosti 3 2024 ilikuwa kilele cha Simba Day Uwanja wa Mkapa ambapo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja…
WIKI hii ni yamoto kutokana na matukio yake kuwa bamba kwa bamba kutokana na kila timu kuwa kazini ikiwa ni kuelekea katika msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ipo wazi kuwa kutakuwa na Big Day ya ni Agosti 10 2024 Uwanja wa Liti ambapo tayari tiketi zimeanza kuuzwa kuelekea kwenye tamasha hilo…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wachezaji wote waliopo ndani ya kikosi cha Simba wapo tayari kupambania uzi wa Unyamani kuwapa furaha Wanasimba. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Simba iligotea nafasi ya tatu kwenye msimamo baada ya mechi 30 ikiwa na pointi 69 itapeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe…