Azam FC vs Yanga SC, Dar Dabi NMB Mapinduzi Cup
WABABE wawili wanatarajiwa kukutana uwanjani kwenye msako wa bingwa mpya wa NMB Mapinduzi Cup, Januari 13,2026. Ni Azam FC vs Yanga SC hawa watakuwa na kazi kufika hitimisho la mashindano haya ambayo yalikuwa na ushindani mkubwa katika hatua za makundi, nusu fainali na sasa fainali. Yanga SC iliwaondoa Singida Black Stars na Azam FC iliwaonoda…