DTB WAPO NDANI YA LIGI MSIMU UJAO
KLABU ya DTB imefanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 mbele ya Pamba FC na wameweza kupata nafasi ya kupanda moja kwa moja Ligi Kuu Tanzania Bara. Jumla wamefikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 28 ndani ya Championship msimu huu. Pamba FC inabakiwa na pointi zake 36 baada ya kucheza mechi 28 msimu huu wa…