Home Uncategorized KIUNGO MGUMU KANOUTE PINI ZAKE ILIKUWA DK 419 Uncategorized KIUNGO MGUMU KANOUTE PINI ZAKE ILIKUWA DK 419 April 17, 2022 FacebookTwitterPinterestWhatsApp KIMATAIFA Sadio Kanoute raia wa Mali ameyeyusha jumla ya dk 419 hizi ni kwenye mechi za hatua ya makundi ndani ya Simba Katupia bao moja dk 62 ilikuwa mbele ya USGN Uwanja wa Mkapa tupo naye kwenye mwendo wa data kiungo mgumu ndani ya Simba. Bao lake alitupia kwa mguu wa kulia akiwa ndani ya 18 na ameonyeshwa kadi za njano 3 Kadi za njano 1 dk 45 mbele ya RS Berkane 1 dk 44 mbele ya USGN Uwanja wa Mkapa 1 dk 67 mbele ya USGN ugenini Mechi zake Dk 73 mbele ya ASEC Dk 90 mbele ya USGN ugenini USGN dk 90, nyumbani RS Berkane ugenini dk 76 RS Berkane nyumbani dk 90.