Home Uncategorized KIUNGO MGUMU KANOUTE PINI ZAKE ILIKUWA DK 419

KIUNGO MGUMU KANOUTE PINI ZAKE ILIKUWA DK 419

KIMATAIFA Sadio Kanoute raia wa Mali ameyeyusha jumla ya dk 419 hizi ni kwenye mechi za hatua ya makundi ndani ya Simba

Katupia bao moja dk 62 ilikuwa mbele ya USGN Uwanja wa Mkapa tupo naye kwenye mwendo wa data kiungo mgumu ndani ya Simba.

Bao lake alitupia kwa mguu wa kulia akiwa ndani ya 18 na ameonyeshwa kadi za njano 3

Kadi za njano

1 dk 45 mbele ya RS Berkane

1 dk 44 mbele ya USGN Uwanja wa Mkapa

1 dk 67 mbele ya USGN ugenini

Mechi zake

Dk 73 mbele ya ASEC

 Dk 90 mbele ya USGN ugenini

  USGN dk 90, nyumbani

  RS Berkane ugenini dk 76

 RS Berkane nyumbani dk 90.

Previous articlePAN AFRICAN,GWAMBINA KUNANI HUKO WAUNGWANA?
Next articleYANGA WAITAJA TIMU WATAKAYOSHANGILIA UWANJA WA MKAPA