MZUNGUKO wa 3 msimu wa 2026/27 unaendelea na hii hapa ratiba ya wiki ya 3
Singida Black Stars vs Simba SC, Agosti 22,2026, Uwanja wa Airtel
Geita Gold vs Kagera Sugar, Agosti 22,2026, Uwanja wa Bukombe
Mbeya City vs Mashujaa FC, Uwanja wa Sokoine, Agosti 23,2026
Azam FC vs Pamba Jiji FC, Uwanja wa Azam Complex, Agosti 23,2026
Yanga SC vs JKT Tanzania, Uwanja wa KMC Complex, Agosti 24,2026
Coastal Union vs TRA United, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Agosti 24
Namungo FC vs Fountain Gate, Uwanja wa Majaliwa, Agosti 25,2026
Dodoma Jiji FC vs Polisi Tanzania, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma
…
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, Moyo Wangu Unavuja Damu na Msichana wa Maisha Yangu. Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.
Msichana wa Maisha Yangu ni simulizi mpya ambayo inazungumzia nguvu ya ahadi na mabadiliko ya teknolojia ikiwemo matumizi ya AI. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM.