Home Uncategorized VIDEO:YANGA WABAINISHA NAMNA WATAKAVYOIFUNGA SIMBA,KUVUNJA REKODI

VIDEO:YANGA WABAINISHA NAMNA WATAKAVYOIFUNGA SIMBA,KUVUNJA REKODI

OFISA Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli ameweka wazi kwamba wanakwenda kuvunja rekodi kwa msimu huu na kuelekea kwenye mchezo wao dhidi ya Simba, Aprili 30 wataifunga Simba na kuchukua pointi tatu muhimu.

Previous articleMAYELE:BADO DENI LA KUIFUNGA SIMBA
Next articleSIMBA:BILA VAR,TUNGEKUWA NUSU FAINALI AFRIKA