
MZUNGUKO WA SITA HATUA YA MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA KUMALIZIKA WIKI HII
Baadhi ya timu zimeshafuzu hatua ya Mtoano kunako Ligi ya Mabingwa, zingine, bado zinajitafuta na michezo ya mwisho itaamua. Wiki hii mambo yapo hivi; AC Milan kuwaalika Liverpool pale San Siro katika mtanange wa kuhitimisha hatua ya makundi kwenye Uefa Champions League. Liverpool ameshafuzu hatua ya mtoano, Milan anahitaji ushindi ili kujihakikishia walau anacheza…