NI SUPER WEEKEND KUNAKO SOKA BARANI ULAYA… BUNDESLIGA, SERIE A NA EPL KIMEUMANA

Baadhi ya mitanange ya kibabe kuchezwa kwenye ulimwengu wa kandanda wikiendi hii. Ni Super Weekend ya kibabe sana viwanjani. Mchongo upo Meridianbet, mambo yapo hivi;   Kwenye Bundesliga wikiendi hii, Borussia Dortmund kuchuana na Bayern Munich pale Signal Iduna Park. Uwanja ungependezeshwa kwa rangi za njano na nyekundu lakini, mlipuko wa Covid 19, unasababisha mchezo…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEPONA UGONJWA ULIOKUWA UKIMSUMBUA

NAMNA alivyoweza kupona ugonjwa uliokuwa ukimsumbua Nilipoanza kuona dalili za kukosa kupata hewa ya kutosha kwenye mapafu yangu, nilidhani yakuwa ni homa ya kawaida ambayo ingeisha muda mfupi baadaye hivyo basi, sikuchukulia maanani kuenda hospitali kuweza kuangaliwa na madaktari na kuwezeshwa kupata matibabu. Mwezi mmoja baadaye, uchungu huo haukupungua bali uliongezeka kwa kiwango kikubwa, nilizidiwa…

Read More

MASAU BWIRE YUPO BIZE NA MAJUKUMU YA TAIFA

BAADA ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Ruvu Shooting v Simba uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting alikuwa kwenye jukumu zito la kutimiza majukumu ya taifa.   Ubao ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba na kufanya mabingwa hao watetezi kusepa na pointi tatu jumlajumla. Mabao ya…

Read More

PABLO: UTAKUWA MCHEZO MGUMU, LAKINI TUPO TAYARI

“Tunategemea mchezo mgumu lakini tuko tayari kwa mchezo wa kesho. Tunajua ni mchezo muhimu na tutapambana ili tupate alama tatu,”- Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo akizungumzia maandalizi ya mchezo wa kesho Ijumaa kati ya Simba SC dhidi ya Ruvu Shooting. “Tunawaheshimu wapinzani wetu lakini tumejipanga kushinda. Naamini mtaona mabadiliko.”- Gadiel Michael.

Read More

PABLO AGOMEA BUTUABUTUA NDANI YA SIMBA

WACHEZAJI wa Simba wameketishwa kikao na Kocha Mkuu, Pablo Franco, raia wa Ufaransa na kuambiwa kwamba wanapaswa kuonyesha uwezo wao wote walionao huku wakipigwa marufukuku mipira ya butuabutua. Kwenye mazoezi ambayo waliyafanya jana Uwanja wa Boko Veteran Pablo alionekana kuwa mkali kwa wachezaji watakaobutua huku akiwataka wacheze soka la utulivu. Mabingwa hao watetezi wana kibarua…

Read More

WANANCHI NI MWENDO WA USHINDI TU HUKO

WANANCHI wameendelea kuwa na furaha baada ya kushinda mabao 2-1 mbele ya KMKM FC katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Wamekuwa kwenye mwendo wa ushindi kwa kuwa hata mchezo wa kwanza walipocheza dhidi ya Mlandege, Yanga ilishinda bao 1-0 na mtupiaji alikuwa ni Heritier Makambo ilikuwa ni Novemba 9. KMKM FC walikuwa…

Read More

MERIDIAN GAMING GROUP KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA COVID – 19

Tangu mwanzo wa janga la COVID-19, kampuni zote za Meridian Gaming Group zimekuwa zikifanya jitihada za makusudi katika kuzisaidia jamii sehemu mbalimbali duniani.   Mchango wa kampuni hii katika kupambana na Covid-19 ni mkubwa kama ambavyo Meridian Gaming Group imeonesha kwenye matokeo yake ya mwaka 2021 katika kupambana na janga hili.  Meridian imeripoti kuchangia zaidi…

Read More

VARANE KUZIKOSA MAN CITY, CHELSEA, ARSENAL

Beki wa kati Raphael Varane anatarajiwa kuukosa mchezo wa Manchester derby kwenye Uwanja wa Old Trafford, wikiendi hii kutokana na kuwa majeruhi. Varane alipata maumivu ya nyama za paja alipokuwa akiitumikia Manchester United ikicheza dhidi ya Atalanta katika Champions League, Jumanne ya wiki hii na imeelezwa kuwa atakuwa nje kwa mwezi mmoja. Hiyo inamaanisha Varate…

Read More

ARSENAL GARI IMEWAKA HUKO

AARON Ramsdale kipa wa Arsenal aliweza kuwa imara akiwa langoni wakati timu yake iliposhinda mabao 2-0 dhidi ya Leicester City uliochezwa Uwanja wa King Power. Ilikuwa ni mabao ya Gabriel Magalhaes ilikuwa dakika ya 5 na lile la pili lilipachikwa na Emule Smith Rowe dakika ya 18 na kuipa pointi tatu timu hiyo inayonolewa na…

Read More

KOCHA YANGA AOMBA KAZI SIMBA … SOMA HAPA

KATIKA rundo la CV ambazo Simba imezipokea kwa ajili ya nafasi ya kocha mkuu wa timu hiyo, kuna majina ya makocha kadhaa waliowahi kuifundisha Yanga. Simba sasa inasaka mrithi wa Mfaransa, Didier Gomes, aliyetangaza kujiuzulu klabuni hapo baada ya matokeo mabaya kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.   Baadhi ya makocha waliowahi kuifundisha Yanga wanaitajwa zaidi…

Read More