
SELEMAN MATOLA ABEBESHWA MAJUKUMU SIMBA
MECHI mbili za Ligi Kuu Bara ameongoza akiwa benchi na ameshinda mbili kwa jumla ya mabao matano, mwendo ameumaliza kocha Zoran Maki ndani ya kikosi hicho baada ya kuchimbishwa na timu ipo mikononi mwa Seleman Matola. Mbali na Maki pia kocha wa viungo Sbai Karim na Kocha wa Makipa Mohamed Rachid naye amechimbishwa. Wote wamefikia…