KALI ONGALA AKIRI LIGI NI NGUMU

KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara ni mgumu kwa kuwa kila timu inahitaji pointi tatu. Ongala amekuwa kwenye mwendo bora na kikosi cha Azam FC ambapo mchezo wake wa kwanza aliwatungua Simba bao 1-0 Uwanja wa Mkapa na mtupiaji alikuwa ni Prince Dube. Ushindi…

Read More

IHEFU WAIVUNJA REKODI YA YANGA KWENYE LIGI

 WAKULIMA kutoka Mbeya, Ihefu FC wamevunja mwiko wa Yanga kuendelea kucheza mechi za ligi bila kufungwa baada ya kupata ushindi wa mabao 2-1. Wakiwa Uwanja wa Highland Estate, Ihefu walianza kutunguliwa bao kipindi cha kwanza kupitia kwa kiraka Yanick Bangala dakika ya 8. Ni Nivere Tigere aliweka usawa dakika ya 38 na kuwafanya waende mapumziko…

Read More

KOCHA KMC ATAJA WANAPOKWAMA

KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa wanashindwa kupata matokeo mazuri kwenye mechi ambazo wanacheza kutokana na wachezaji wake wengi wa kikosi cha kwanza kutokuwepo kikosini. KMC mchezo wake uliopita wa ligi ubao wa Uwanja wa Uhuru ulisoma KMC 0-0 Prisons na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Kocha huyo ameweka wazi anaamini wachezaji wake wakipona…

Read More

YANGA:MECHI DHIDI YA IHEFU NI NGUMU

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mechi yao dhidi ya Ihefu ni ngumu kuliko mchezo wa Dabi. Leo Yanga ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate. Yanga imetoka kushinda mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City na mabao yote yalifungwa…

Read More

WATATU SIMBA WAWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA

KWENYE orodha ya nyota watatu wa Simba ambao wameingia fainali ya kuwania mchezaji bora chaguo la mashabiki ndani ya Novemba kiungo Mzamiru Yassin jina lake limepenya pia. Wengine wawili ambao anapambana nao ni pamoja na Shomari Kapombe ambaye ni beki wa kazi pamoja na kiungo mgumu Sadio Kanoute. Kikosi hicho jana Novemba 27,2022 kilikuwa na…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI TATU, MANULA ATUNGULIWA

DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa Ushirika Moshi na ubao umesoma Polisi Tanzania 1-3 Simba. Simba walianza kufunga mabao yote hayo matatu ambapo kipindi cha kwanza walifunga mabao mawili kupitia kwa John Bocco dakika ya 332 na bao la pili ni Moses Phiri dakika ya 43. Kipindi cha pili Polisi Tanzania waliongeza umakini na nguvu ya…

Read More

UFARANSA HAO 16 BORA KOMBE LA DUNIA

MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia Ufaransa ni timu ya kwanza kutinga hatua ya 16 kwenye mashindano hayo makubwa nchini Qatar. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Denmark umeipa tiketi timu hiyo kutangulia mbele ikipewa nafasi ya kuendelea kuleta ushindani. Katika Uwanja wa 974 ambao umejengwa kwa idadi hiyo ya makontena kwa Ufaransa staa wao…

Read More

YANGA YAITUNGUA MBEYA CITY KWA MKAPA

FISTON Mayele amefikisha mabao 10 kwenye Ligi baada ya leo kutupia mabao mawili mbele ya Mbeya City. yanga imesepa na pointi tatu jumlajumla za Mbeya City kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambapo alifunga bao la kwanza dakika ya 24 na lile la pili dakika ya 70. Ushindi huo unaifanya Yanga kufikisha jumla ya mechi…

Read More

BECKHAM ATAJWA KUINUNUA MAN UNITED

 NYOTA wa zamani wa Manchester United, David Bekham anatajwa kuwa kwenye mpango wa kuinunua klabu. Staa huyo anatajwa kuwa kwenye mchakato wa kuwa kwenye muunganiko na wawekezaji wengine ili kuongeza nguvu na nafasi ya kushinda dili hilo baada ya familia ya Glazers kutangaza kuiweka sokoni. The Glazers waliinunua Man United kwa pauni milioni 790 ilikuwa…

Read More

NEYMAR AANZA NA MAJANGA

WAKATI timu ya taifa ya Brazil ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Serbia staa wao Neymar alipata maumivu ya enka. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye benchi la ufundi la Brazil zimeeleza kuwa hali ya maumivu ambayo amepata itatolewa taarifa kamili baada ya ripoti ya madaktari kutolewa. Staa huyo baada ya kutolewa alionekana…

Read More

SINGIDA BIG STARS KUIKABILI KMC

KIKOSI cha Singida Big Stars leo kina kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya KMC ambao nao wanazihitaji pia. Ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti saa 8:00 mchana huko Singida. Upande wa kiingilio ni 3,000 kwa mzunguko na VIP ni shilingi 5,000 ambazo zitawafanya mashabiki kushuhudia mchezo huo…

Read More

DODOMA JIJI 0-1 YANGA, UWANJA WA LITI

IKIWA ugenini mbele ya Dodoma Jiji kwenye mchezo wa ligi Uwanja wa Liti, Yanga inaongoza kwa bao 1-0. Bao pekee la uongozi ni mali ya Fiston Mayele ambaye amepachika bao hilo dakika ya 41 ya mchezo. Pasi ya kwanza ya kiungo Tuisila Kisinda leo imeleta bao kwenye mchezo huo wenye ushindani mkubwa. Dodoma Jiji wanakwenda…

Read More

HAWA HAPA YANGA KUIKOSA DODOMA JIJI

MASTAA kadhaa wa Yanga leo Novemba 22 wanatarajia kukosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti. Miongoni mwa nyota hao ni Aziz KI ambaye ni kiungo anayetumikia adhabu ya kufungiwa mechi tatu. Diarra Djigui kipa namba moja wa timu hiyo, Gael Bigirimana kiungo wa timu hiyo hawatakuwa…

Read More