NYOTA HAWA SIMBA KUPIGWA PANGA

INAELEZWA kuwa miongoni mwa nyota ambao wataachwa ndani ya kikosi cha Simba hivi karibuni ni pamoja na beki wa kazi Mohamed Ouattara. Huyo nibeki wa kati wa Simba ni miongoni mwa nyota ambao wanatajwa kuwa kwenye mpango wa kuondolewa kikosini hapo kutokana na kushindwa kuonyesha makali yake. Mbali na beki huyo ambaye alikuwani chaguo la…

Read More

AZAM FC HESABU KWA POLISI TANZANIA

VIJANA wa Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Kali Ongalakwa sasa wapo kwenye maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara zinazofuata ndani ya Desemba,2022. Chini ya Ongala kwenye mechi 7 ambazo amekiongoza kikosi hicho hajapoteza mchezo akiwa amekusanya clean sheet nne bila kuambulia sare. Kituo kinachofuata ni dhidi ya Polisi Tanzania, Desemba 5, Uwanja wa…

Read More

TUNISIA SAFARI IMEWAKUTA LICHA YA KUSHINDA

LICHA ya timu ya taifa ya Tunisia kutoka Afrika kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ufaransa kwenye mchezo wa makundi Kombe la Dunia, Qatar 2022 safari yao imegota ukingoni. Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa, Ufaransa walianzisha wachezaji wake wengi nyota benchi kwa kuwa inaonekana kuwa mbinu ya benchi la ufundi ilikuwa ni kuwapumzisha…

Read More

HAWA HAPA WAPINZANI WA SIMBA KOMBE LA SHIRIKISHO

KWENYE droo ya Azam Sports Federation raundi ya pili ambayo imechezwa leo Novemba 30,2022 Simba imewatambua wapinzani wake. Ni kikosi cha Eagle kitapambana na Simba kusaka ushindi kwenye mchezo wao huo ujao. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kati ya Desemba 9-11, 2022 ambapo Simba waliweka wazi kuwa wanahitaji kutwaa taji hilo. Mabingwa watetezi wa taji hilo…

Read More

ENGLAND HAO 16 BORA KOMBE LA DUNIA

NYOTA Marcus Rasford alikuwa kwenye ubora wakati timu ya taifa ya England ikiwatungua mabao 3-0 Wales kwenye mchezo wa hatua ya makundi, Kombe la Dunia Qatar. Ni dakika ya 50 na 68 nyota huyo alifunga huku bao lingine likiwa ni mali ya Phil Foden dakika ya 51 kwenye mchezo huo wa kundi B uliokuwa na…

Read More

KALI ONGALA AKIRI LIGI NI NGUMU

KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara ni mgumu kwa kuwa kila timu inahitaji pointi tatu. Ongala amekuwa kwenye mwendo bora na kikosi cha Azam FC ambapo mchezo wake wa kwanza aliwatungua Simba bao 1-0 Uwanja wa Mkapa na mtupiaji alikuwa ni Prince Dube. Ushindi…

Read More

IHEFU WAIVUNJA REKODI YA YANGA KWENYE LIGI

 WAKULIMA kutoka Mbeya, Ihefu FC wamevunja mwiko wa Yanga kuendelea kucheza mechi za ligi bila kufungwa baada ya kupata ushindi wa mabao 2-1. Wakiwa Uwanja wa Highland Estate, Ihefu walianza kutunguliwa bao kipindi cha kwanza kupitia kwa kiraka Yanick Bangala dakika ya 8. Ni Nivere Tigere aliweka usawa dakika ya 38 na kuwafanya waende mapumziko…

Read More

KOCHA KMC ATAJA WANAPOKWAMA

KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa wanashindwa kupata matokeo mazuri kwenye mechi ambazo wanacheza kutokana na wachezaji wake wengi wa kikosi cha kwanza kutokuwepo kikosini. KMC mchezo wake uliopita wa ligi ubao wa Uwanja wa Uhuru ulisoma KMC 0-0 Prisons na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Kocha huyo ameweka wazi anaamini wachezaji wake wakipona…

Read More

YANGA:MECHI DHIDI YA IHEFU NI NGUMU

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mechi yao dhidi ya Ihefu ni ngumu kuliko mchezo wa Dabi. Leo Yanga ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate. Yanga imetoka kushinda mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City na mabao yote yalifungwa…

Read More

WATATU SIMBA WAWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA

KWENYE orodha ya nyota watatu wa Simba ambao wameingia fainali ya kuwania mchezaji bora chaguo la mashabiki ndani ya Novemba kiungo Mzamiru Yassin jina lake limepenya pia. Wengine wawili ambao anapambana nao ni pamoja na Shomari Kapombe ambaye ni beki wa kazi pamoja na kiungo mgumu Sadio Kanoute. Kikosi hicho jana Novemba 27,2022 kilikuwa na…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI TATU, MANULA ATUNGULIWA

DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa Ushirika Moshi na ubao umesoma Polisi Tanzania 1-3 Simba. Simba walianza kufunga mabao yote hayo matatu ambapo kipindi cha kwanza walifunga mabao mawili kupitia kwa John Bocco dakika ya 332 na bao la pili ni Moses Phiri dakika ya 43. Kipindi cha pili Polisi Tanzania waliongeza umakini na nguvu ya…

Read More

UFARANSA HAO 16 BORA KOMBE LA DUNIA

MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia Ufaransa ni timu ya kwanza kutinga hatua ya 16 kwenye mashindano hayo makubwa nchini Qatar. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Denmark umeipa tiketi timu hiyo kutangulia mbele ikipewa nafasi ya kuendelea kuleta ushindani. Katika Uwanja wa 974 ambao umejengwa kwa idadi hiyo ya makontena kwa Ufaransa staa wao…

Read More