
KINYOZI MUSOMA ALAMBA 6,776,051 JACKPOT BONUS YA SPORTPESA
Mkazi wa Musoma, Mara Mwaliki Maregeli Nyangasi ameshinda kitita cha Sh 6,776,051 kama Jackpot bonus ya kati kati ya wiki baada ya kupatia kwa usahihi mechi 12 kati ya mechi 13 za Jackpot zilizochezwa wiki iliyopita. Akizungumza katika ofisi za SportPesa, Oysterbay,Dar-Es-Salaam, Mwaliki anasema alianza kucheza na SportPesa 2017, baada ya kusikia na kuona kwenye…