CHUMA CHA KAZI NDANI YA AZAM FC

NI moja ya mazao ya Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala akiwa anaaminika kwenye kikosi cha wale wakubwa wanaoshiriki Ligi Kuu Bara. Nyota huyo ni Cyprian Kachwele ambaye ni mshambuliaji kutoka kwenye chuo cha kulelea vipaji ndani ya Azam Academy. Wakati Novemba 15 mwaka huu, akitarajia kutimiza umri wa miaka 16, Kachwele alifunga…

Read More

SIMBA 1-0 VIPERS

UWANJA wa Mkapa ikiwa ni Jumanne ya Wenye Nchi wanaongoza ndani ya dakika 45 za mwanzo. Ni bao la Clatous Chama ambalo limefungwa dakika ya 45 na kufanya ubao kusoma Simba 1-0 Vipers. Ugonjwa wa Simba kwenye umaliziaji hasa eneo la mwisho kwenye mechi za kimataifa bado haujapata tiba kutokana na nafasi nyingi za wazi…

Read More

KMC MAJANGA, MTIBWA IHEFU ZAPETA

WAKIWA Uwanja wa Manungu, Mtibwa Sugar wamekata tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Azam Sports Federation. Ni ushindi wa bao 1-0 ambao walipata huku mtupiaji akiwa ni David Kameta, ‘Duchu’ dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti uliowandoa mazima KMC kwenye mashindano. KMC hawana bahati pia kwenye mashindano haya kwa kuwa…

Read More

ARSENAL WASEPA NA POINTI TATU KIBABE

LICHA ya Bournermouth kuanza kwa kasi kuliandama lango la Arsenal na kupata mabao ya kuongoza kila kipindi. Bao la mapema lilifungwa dakika ya kwanza na Philip Billing na bao la pili lilifungwa na Marcus Senesi dakika ya 51. Mwisho ubao ulisoma Arsenal 3-2 Bournemouth ambapo ni mabao ya Thomes Partey dakika ya 62, Ben White…

Read More

DHAHABU IMEANZA KUPATA MOTO, KAZI IPO JUMANNE

KILE chumba cha mafanikio kilichokuwa kina giza totoro mwanzo mwisho angalau sasa mwanga umeanza kupenya huku ile dhahabu ikianza kupata moto. Ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika walifanikiwa kupata ushindi ugenini baada ya ubao kusoma Vipers 0-1 Simba, Februari 25,2023 Uwanja wa St Mary’s, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa namna hii:- Aishi Manula…

Read More

KAZI YA VIGONGO VYA YANGA MACHI

NI Machi Mosi 2023 ikiwa ni ukurasa mwingine ambao unaanza kufunguliwa kwa sasa. Yanga wao wana kazi kwenye anga la kitaifa na kimataifa na wana vigongo vya kucheza kusaka ushindi. Hivi hapa vigongo vya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ndani ya Machi zipo namna hii:- Yanga v Prisons Machi 3 huu ni mchezo…

Read More

YANGA KUTUA DAR

MSAFARA wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Februari 28 unatarajiwa kuwasili Dar. Wawakilishi hao wa kimataifa kwenye anga la Kombe la Shirikisho walikuwa na mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Real Bamao uliochezwa Mali. Kwenye mchezo huo ubao ulisoma Real Bamako 1-1 Yanga na kuwafanya wagawane pointi mojamoja kwenye…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI TATU KIMATAIFA

HATIMAYE kikosi cha Simba kimeibuka na ushindi kwenye mchezo wake wa kwanza hatua ya makundi ikiwa ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa St Mary’s umesoma Vipers 0-1 Simba na kuwafanya wasepena pointi tatu mazima. Mtupiaji wa bao la ushindi ni Henock Inonga ambaye aliwapa furaha wachezaji wenzaki ikiwa ni pamoja na Kibu…

Read More

MAJOGORO AFUNGUKIA KICHAPO YANGA

BARAKA Majogoro kiungo wa KMC amesema kuwa sababu ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga ni kushindwa utumia nafasi ambazo walizipata pamoja na wapinzani wao kutumia zile ambazo walipata. Februari 22 KMC ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mwamba huyo mwenye rasta kichwani alianza kikosi…

Read More

DODOMA JIJI KUMALIZANA NA IHEFU

UONGOZI wa  Dodoma Jiji  umeweka wazi kuwa baada ya kupoteza mchezo wao wa ligi dhidi ya  Mtibwa Sugar  hasira zao wanazihamishia kwa  Ihefu . Kwenye mchezo waliokuwa Uwanja wa  Manungu  walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1. Leo Februari 24,2023 Dodoma Jiji wana kazi ya kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Ihefu ya Mbeya. Mchezo huo unatarajiwa…

Read More

YANGA YAKOMBA POINTI ZOTE ZA KMC

HUKU kikosi cha Yanga kikiwa na nyota kadhaa ambao hawakuanza kikosi cha kwanza mchezo wa kimataifa dhidi ya TP Mazembe wamesepa na pointi tatu zote za KMC. Kazi kubwa imemalizwa ndani ya dakika 40 za mwanzo ambapo bao lilipachikwa na Clement Mzize dakika ya 38 na kuipa pointi tatu Yanga. Uimara wa ukuta wa timu…

Read More

YANGA KUONGEZA HALI YA KUJIAMINI KWA KMC

KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa watapambana kupata matokeo mazuri dhidi ya Yanga ili kurejesha hali ya kujiamini kwa wachezaji wake. Timu hiyo ilitoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Ruvu Shooting kwa kufungwa mabao 2-1 Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Katika mchezo huo waliokuwa ugenini KMC ilikwama kufurukuta mbele ya Ruvu Shooting wazee…

Read More

KANOUTE LAZIMA ABADILIKE,ANAIGHARIMU TIMU

KIUNGO Sadio Kanoute ni lazima abadili uchezaji wake kwenye kutimiza majukumu yake anaigharimu timu, anagharimu afya za wachezaji wake. Ni mchezaji mzuri anafanya kazi ngumu na inayoonekana lakini lazima aongeze umakini kwenye kutimiza majukumu yake. Kuna mikato yake mingine ni hatari kwa usalama wa wachezaji na kadi za njano ambazo anapewa zinaigharimu timu yake. Benchi…

Read More

MUDA BADO GARI HALIJAWAKA

MSIMU wake wa kwanza akiwa na Yanga baada ya kusajiliwa kwenye dirisha dogo akiwa ni mchezaji huru. Kiungo Muadhathir Yahaya ameweka wazi kuwa bado hajafikia kwenye uwezo anaofikiria licha ya kupata nafasi za kucheza kwenye mechi za ushindani. Nyota huyo ameingia jumlajumla kikosi cha kwanza cha Yanga kwenye eneo la kiungo mkabaji akionesha makeke yake…

Read More