Brendan Rodgers Ajiuzulu Celtic Scotland

Miamba ya soka ya Scotland, Celtic FC, imethibitisha kuwa Meneja wao Brendan Rodgers amejiuzulu rasmi leo kutoka nafasi yake ya ukocha. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo, Celtic imesema imepokea na kukubali barua ya kujiuzulu kutoka kwa Rodgers, ambaye ataondoka katika majukumu yake mara moja. “Brendan anaondoka Celtic tukiwa na shukrani kwa nafasi aliyochukua…

Read More

Yanga SC vs Mtibwa Sugar, Clement Mzize out

Yanga SC vs Mtibwa Sugar mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara unatarajiwa kuchezwa Oktoba 28,2025 Uwanja wa KMC Complex. Huo ni mchezo wa ligi ambapo Yanga SC imetoka kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Silver Striker katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Kuelekea mchezo huo mchezaji Clement Mzize ambaye ni mshambuliaji atakosekana kwa…

Read More

Meridianbet Kuimarisha Burudani Kwa Wabashiri Kupitia Gates of Halloween

Kampuni inayoongoza michezo ya kubashiri mtandaoni nchini, Meridianbet, imezindua rasmi mchezo mpya wa kasino unaoitwa Gates of Halloween, ambao umeleta upepo wa mapinduzi katika ulimwengu wa burudani mtandaoni. Huu si mchezo tu wa ilimradi bali ni mlango wa kuingia katika dunia ya maajabu, mapepo, bahati, na ushindi wa kutisha. Gates of Halloween ni mchanganyiko kamili…

Read More

FC Porto, Atletico Madrid, Fenerbahce na Atalanta Zawasha Moto Meridianbet Leo!

Jumatatu ya ushindi imekufikia na wakali wa ubashiri Meridianbet leo, baada ya wikendi kumalizika sasa ni zamu ya kuchukua maokoto yako hapa. Ingia kwenye akaunti yako tengeneza jamvi lako na dau lako lolote uibuke bingwa leo. Ureno, PRIMEIRA LIGA itaendelea kwa mechi moja kali ambapo FC Porto atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya Moreirense. Mechi ya…

Read More

Kaa Mkao wa Kula Kujua Habari Zote za Michezo na Meridianbet Sport Portal

Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wankuuliza je unajua kuhusu Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet wakati wa kubashiri kwani hapa anapata taarifa zote za kimichezo na kasino kwa ujumla. Meridianbet Sport Portal ni kwaajili ya kumpa mteja wa Meridianbet uzoefu bora…

Read More

Simba SC vs Nsingizini Hotspurs matokeo yafutwa mazima

Simba SC vs Nsingizini Hotspurs uongozi wa timu hiyo umebainisha kwamba utaingia uwanjani kama tmu ambayo haijafunga hivyo ni sawa na kusema matokeo yafutwa mazima ili kuongeza ushindani kwenye mchezo huo wa marudio unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wa…

Read More

Kila Dakika ni Fursa ya Ushindi – Cheza Win&Go na Rejeshewa 10% Ukianguka!

Huu ni mwezi wa kujikusanyia pesa tu. Ukiwa na Meridianbet, jua umechagua kushinda kila siku, kwani wanahakikisha kila mwanafamilia wake ananufaika. Na sasa, wamezindua Win&Go, mchezo unaokupa fursa ya kushinda kila baada ya dakika tano. Zaidi ya hapo, unacheza bila hofu ya kupoteza kwani ukikosa, unarejeshewa 10% ya dau lako siku inayofuata. Wachezaji wote wanaoshiriki…

Read More