Etihad Yazizima Ndoto za Liverpool! Haaland Aweka Rekodi Nyingine
Erling Haaland ameendelea kuonesha ubora wake ndani ya Ligi Kuu ya England baada ya kufunga bao lake la 14 msimu huu, akiipatia Manchester City uongozi dhidi ya Liverpool kwenye mchezo unaopigwa katika uwanja wa Etihad Stadium. Bao hilo la kwanza lilifungwa dakika ya 29, kabla ya Nico kuongeza la pili katika dakika ya 45+4, na…