
SOKA LA UFUKWENI LINAZIDI KUSHIKA KASI
LIGI ya Soka la Ufukweni inaendelea kushika kasi ambapo kila timu imekuwa ikifanya yake kwenye msako wa pointi tatu. Jana Mei 7,2022 timu nne zilikuwa uwanjani kusaka ushindi kwenye mechi ambazo walicheza huku mashabiki wakijitokeza kwa wingi. Ni kwenye Viwanja vya Fukwe za Coco Beach ambapo wachezaji hao wanasaka ushindi ili kuweza kufikia malengo yao….