
Sports


DARASA LA YANGA KIMATAIFA NI KWA WOTE
KASI ya Yanga kwenye mashindano ya kimataifa ni darasa huru kwa kila mmoja apate kujifunza namna ya kutumia bahati na nafasi inayotokea. Hakuna timu ambayo haipendi kupiga hatua kila siku na kuandika rekodi mpya na nzuri hilo lipo wazi hivyo kwa sasa mfano bora wa kuzungumzia kwenye kizazi cha sasa ni Yanga. Mfumo ambao wameutumia…

MAYELE ATIKISA AFRIKA,MBRAZIL SIMBA ATANGAZA BALAA ZITO
MAYELE atikisa Afrika, Mbrazil Simba atangaza balaa zito ndani ya Championi Jumamosi

POLISI TANZANIA YAGOMEA KUSHUKA DARAJA
KOCHA msaidizi wa Polisi Tanzania, John Tamba amesema kuwa wanatambua ushindani uliopo kwenye ligi ni mkubwa watapambana kushinda mechi zilizobaki ili kufufua matumaini ya kubaki ndani ya ligi. Vinara wa Ligi Kuu Bara ni Yanga ambao wametwaa taji hilo kwa mara ya pili mfululizo wakiwa na pointi 74 na wana mechi mbili mkononi. Polisi Tanzania…

SIMBA YAIPA NGUVU NAMUNGO
KOCHA Mkuu wa Namungo, Dennis Kitambi amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Simba umewapa nguvu ya kufanya vizuri kwenye mechi ambazo zimebakia. Namungo ilipokutana na Simba kwenye mchezo wa ligi ilitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 mchezo wake dhidi ya Azam FC ilishinda mabao 2-1. Kitambi amesema kuwa wachezaji baada ya kucheza mchezo dhidi ya Simba…

CHAMA, SAIDO MVURUGANO MTUPU SIMBA
MASTAA wawili ndani ya kikosi cha Simba, Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama ni mvurugano mtupu kwenye kutengeneza pasi za mwisho ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara wao mtambo wao wa mabao ni Fiston Mayele mwenye mabao 16 kibindoni. Wakati Chama ambaye ni kinara wa kutenegenza…

YANGA: NINI MWARABU? TUNALITAKA KOMBE, BALEKE AFUNGUKA
Nini Mwarabu? Tunalitaka Kombe CAF, Baleke afunguka mazito Simba ndani ya Championi Ijumaa

AZIZ KI AFICHUA SIRI YA MABAO YAKE
AZIZ Ki kiungo mshambuliaji wa Yanga amefichua kuwa mabao yake anayofunga ni kwa ajili ya kutimiza majukumu yake ndani ya timu hiyo kwenye kila mchezo ambao atapata nafasi ya kucheza. Nyota huyo katupia mabao 9 kibindoni akiwa na pasi tano za mabao baada ya kucheza jumla ya mechi 23 ndani ya msimu wa 2022/23. Ni…

KIUNGO WA KAZI SIMBA AVUNJA REKODI YAKE
MSENEGAL Pape Sakho anayekipiga ndani ya kikosi cha Simba amevunja rekodi yake aliyoiandika yeye mwenyewe msimu wa 2021/22 kwenye suala la kutupia mabao. Nyota huyo msimu huo alitupia mabao sita kimiani baada ya kucheza jumla ya mechi 22 akitumia dakika 1,355 alitengeneza pasi tano za mabao. Ikumbukwe kwamba kinara wa utupiaji wa mabao ni Fiston…


HUYU HAPA ‘MCHAWI’WA SIMBA
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa miongoni mwa sababu zilizofanya wakagotea nafasi ya pili ni kuwa na wachezaji ambao hawapo fiti muda wote. Miongoni mwa wachezaji ambao msimu wa 2022/23 ndani ya kikosi cha Simba walikuwa wanapambania hali zao ni pamoja na kiungo Peter Banda, Agustino Okra, Moses Phiri na Aishi Manula. Simba…

YANGA WABABE HAO FAINALI KIMATAIFA
NGOMA imesoma Gallants Marumo 1-2 Yanga ukiwa ni mchezo wa hatua ya nusu fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika. Kazi kubwa imefanywa na wachezaji wote wa Yanga wakiongozwa na Nasreddine Nabi ambaye ni Kocha Mkuu. Ni Fiston Mayele alianza kupachika bao la kuongoza kwa Yanga dakika ya 44 kisha ngoma ikapachikwa na Kenned Musonda…

AZAM FC YAIVUTIA KASI COASTAL UNION
AZAM FC chini ya Kali Ongala imeanza maandalizi kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo itakuwa ugenini dhidi ya Coastal Union, utakaochezwa Uwanja Mkwakwani, Tanga, Mei 24 mwaka huu saa 10.00 jioni. Azam FC mchezo wake uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Azam FC 1-2 Namungo FC. Kocha Mkuu…

BOCCO NGOMA BADO NZITO
NAHODHA wa Simba, John Bocco ndani ya Ligi Kuu Bara ngoma bado ni nzito kwenye upande wa kucheka na nyavu. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele wa Yanga mwenye mabao 16 na pasi mbili za mabao. Nahodha huyo mzawa ambaye ni mfungaji bora wa muda wote akiwa amefunga mabao zaidi ya 100 msimu huu kagotea…

JESHI LA YANGA DHIDI YA MARUMO AFRIKA KUSINI
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema mabadiliko katika kikosi cha kwanza dhidi ya Marumo Gallants ni muhimu kwa ajili ya kupata ushindi. Ni Mudhathir Yahya na Kennedy Musonda wameingia kikosi cha kwanza na walikosekana katika kikosi cha kwanza kilichoanza Uwanja wa Mkapa. Nabi Leo ameanza namna hii:- Diarra Djigui Dickson Job Kibwana Shomari Bacca…

NABI AFURAHIA MASHABIKI WA MARUMO
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema wanapenda kucheza na mashabiki hivyo jambo ambalo wapinzani wao wamefanya ni zuri. Leo Yanga inatarajiwa kutupa kete kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini ambao watakuwa nyumbani. Kwenye mchezo wa leo wapinzani wao wamefuta kiingilio wakihitaji kuwa na mashabiki wengi ili…

NABI KUWASHANGAZA MARUMO, HAWA HAPA KUKOSEKANA
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amepanga kuwashangaza wapinzani wake Marumo Gallants kutokana na mpango kazi atakaotumia kwenye mchezo huo kuwa tofauti na ule wa awali. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 2-0 Gallants na mabao yakifungwa na Aziz KI na Bernard Morrison. Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema kuwa kutakuwa…