Wikendi ya Moto Imeanza: Mechi za Ligi La Liga, Serie A, na EPL kuendelea leo
Wikendi ndio hiyo imeanza ambapo mechi za ligi mbalimbali Duniani zinatarajiwa kuendelea. Kule Uingereza, Hispania na Italia zipo mechi jkibao za pesa. Ingia na ujisajili siku ya leo. Tukianza na LALIGA leo Girona atamenyana dhidi ya Mallorca ambao mpaka sasa wanashika nafasi ya 17 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi….