Salah amekataa bonasi ya maana kabisa

 Mohamed Salah mwenye miaka 33 raia wa Misri inaelezwa kuwa amekataa bonasi ya kiasi cha Pauni Milioni 20 (zaidi ya Sh64 bilioni) ili kuondoka Liverpool.  Salah amefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wake mwaka mmoja mapema, jambo litakaloifanya Liverpool kuokoa jumla ya Pauni Milioni 40.8 za mishahara na bonasi. Salah ilibidi asubiri mpaka 2027 kutokana na…

Read More

Nani Kusonga Hatua ya Robo Fainali UEFA Leo? Liverpool, Bayern, Barca na Atletico

Pilikapilika za Ligi ya Mabingwa bado zinaendelea huku mechi za mkondo wa pili zikipamba moto. Kila timu inahitaji kushinda ili kwenda hatua inayofauata. Je nani unampa beti yako Liverpool ataumana dhidi ya Galatasaray Instanbul baada ya mechi ya kwanza kupigika kule Uturuki. Slot anahitaji ushindi kwenye mtanange huu wa leo ili ajiweke vyema kwenye mbio…

Read More

Arsenal, Real Madrid na Paris Saint-Germain Watinga Robo Fainali UEFA kwa Kishindo

Timu za Arsenal, Real Madrid na Paris Saint-Germain zimefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya UEFA Champions League baada ya kuonyesha ubora mkubwa katika michezo ya hatua ya 16 bora iliyopigwa usiku wa kuamkia leo. PSG Waidhalilisha Chelsea kwa Mabao 3-0 Katika dimba la Stamford Bridge, Paris Saint-Germain waliendeleza ubabe wao kwa kuichapa Chelsea mabao…

Read More