BARCELONA YATEMBEZA 4G

USIKU wa kuamkia leo Barcelona imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Athletic Club. Mabao ya Pierre Aubameyang dk 37,Ousmane Dembele dk 73, Luuk de Jong dk 90 na Memphis Depay dk 90+3 yalitosha kuipa pointi tatu Barcelona. Ilikuwa ni katika Uwanja wa Camp Nou mambo yote hayo yamefanyika. Inakuwa na pointi 45 baada…

Read More

MERSON:SAKA NA EMILE WAPEWE MIKATABA YA KUDUMU

MKONGWE wa Arsenal, Paul Merson, amesisitiza klabu hiyo inatakiwa kufanya haraka kuwaongezea mikataba nyota wa kikosi hicho, Bukayo Saka na Emile Smith Rowe. Kwa msimu huu wa 2021/22 Saka na Smith Rowe wamekuwa chachu ya mafanikio ndani ya Arsenal chini ya Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Merson amesema nyota hao wamekuwa muhimu ndani ya kikosi hicho…

Read More

RONALDO BANA AGOMA KUSTAAFU

NYOTA wa kikosi cha Manchester United amesema kuwa anaamini bado miaka minne au mitano kwenye soka na pia ana furaha kufanya kazi hiyo anayoipenda. Kwa sasa bado anakipiga ndani ya Manchester United akiwa ni staa anayetajwa kuwa mshambuliaji bora wa muda wote. Nyota huyo kibindoni ana tuzo tano za Ballon d’Or na msimu huu tayari…

Read More

SIMBA:TUTARUDI NA MABEGI YA POINTI BONGO

MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez amesema kuwa wanaamini kwamba watarudi na mabegi ya pointi mgongoni baada ya kukamilisha mchezo wa leo Februari 27 dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Simba ni vinara wa kundi D kwenye Kombe la Shirikisho wakiwa na pointi nne kibindoni wakiwa wamecheza mechi mbili, walishinda mbele ya ASEC Mimosas mabao…

Read More

SIMBA YATUMIA MBINU YA KIPEKEE KUIMALIZA RS BERKANE

KATIKA kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa kesho Jumapili dhidi ya RS Berkane, uongozi wa Simba umeamua kutumia njia ya kipekee kupitia uhusiano wao na maofisa wa Raja Casablanca ya Morocco kuhakikisha wanapata mbinu za kuwamaliza Berkane. Simba inanufaika kutokana na kuwa na makubaliano ya ushirika na Klabu ya Raja Casablanca yaliyotokana na…

Read More

HATARI YA MORRISON KIMATAIFA IPO HIVI

MTUKUTU Bernard Morrison mzee wa kuchetua kiungo mshambuliaji wa Simba ana wastani wa kuwa na hatari kila baada ya dakika 57 akiwa uwanjani kwenye mechi za kimataifa. Simba ikiwa imecheza mechi nneBM ametumia dakika 172 na ametupia mabao matatu katika mechi tatu ambazo amecheza. Alianza kuonyesha makeke mbele ya Red Arrows alitumia dakika 90 alitupia…

Read More

SIMBA NDANI YA BERKANE

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco leo Februari 26 kimewasili salama mji wa Berkane. Safari ya kuibukia Berkane ilianza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mohammed V uliopo Casablanca. Simba ina kibarua cha kumenyana na Klabu ya RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi, kesho Februari 27….

Read More

BARCELONA WAINYOOSHA NAPOLI

WAKIWA ugenini walishuhudia ubao ukisoma Napoli 2-4 Barcelona baada ya dakika 90. Ni mabao ya Lorenzo Insigne dakika ya 23 kwa mkwaju wa penalti na Matteo Politano dakika ya 87 kwa upande wa Napoli. Ni Jordi Alba dakika ya 8,Frenkie de Jong dk 13, Gérard Pique yeye alitupia bao moja dk ya 45 na hapo…

Read More

KISA WAARABU MKWANJA WAONGEZWA SIMBA

AWALI uongozi wa Simba uliwatangazia wachezaji kuwapa bonasi ya dola 100,000 (Sh mil 231) katika kila mechi watakayoshinda, lakini kutokana na ugumu wa mechi ijayo dhidi ya RS Berkane ya Morocco, matajiri wa timu hiyo wameongeza mezani dola 50,000 (Sh mil 115.5) hivyo jumla mastaa hao watavuna zaidi ya Sh mil 300. Wikiendi hii Simba…

Read More

LIVERPOOL YAPIGA 6-0 LEEDS UNITED

VIJANA wa Jurgen Klopp waliamua kushusha mvua za mabao mwa wapinzani wao Leeds United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England kwa kusepa na pointi tatu mazima. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Anfield ulisoma Liverpool 6-0 Leeds United. Ni Mohamed Salah alitupia mawili na yote kwa penalti dakika ya 15 na 35 huku…

Read More

ALIWAPA TABU SIMBA ADEBAYO AKUBALI KUSAINI

WAKATI Simba SC  ikiambulia pointi moja mbele ya US Gendarmerie juzi Jumapili, ilifanya umafia kwa kuzungumza na wakala wa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Victorien Adebayor ili kumsajili.   Adebayor ni kati ya wachezaji tegemeo katika kikosi cha Gendarmarie ambaye katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane msimu huu alifunga mabao mawili.   Katika mchezo huo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika uliomalizika kwa sare ya…

Read More

KOCHA RS BERKANE AIHOFIA SIMBA KIMATAIFA, ATOA ANGALIZO

BAADA ya kuzitazama rekodi zake anapocheza na Simba, Kocha Mkuu wa RS Berkane, Florent Ibenge, amekiri kukutana na upinzani mkali dhidi ya timu hiyo katika michuano ya kimataifa. Ibenge amekutana na Simba mara nne katika michuano ya kimataifa wakati alipokuwa akiinoa AS Vita ya DR Congo ambapo katika michezo hiyo amepoteza mitatu na akishinda mmoja. Ibenge kwa sasa akiwa kocha mkuu wa RS Berkane ya nchini Morocco, anatarajiwa kukutana na Simba katika mchezo…

Read More

PABLO AWEKA REKODI KIMATAIFA DAKIKA 180

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba ameweka rekodi yake kwenye mechi mbili mfululizo kuweza kufanya mabadiliko ambayo yamekuwa yakimpa matokeo ndani ya dakika 180. Katika Kombe la Shirkisho mbali na kuwa Simba ni namba moja na pointi zake nne,pointi hizo zilipatikana kipindi cha pili mara baada ya kufanya mabadiliko kwa wachezaji ambao walikuwa benchi kuusoma…

Read More