Home International BARCELONA YATEMBEZA 4G

BARCELONA YATEMBEZA 4G

USIKU wa kuamkia leo Barcelona imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Athletic Club.

Mabao ya Pierre Aubameyang dk 37,Ousmane Dembele dk 73, Luuk de Jong dk 90 na Memphis Depay dk 90+3 yalitosha kuipa pointi tatu Barcelona.

Ilikuwa ni katika Uwanja wa Camp Nou mambo yote hayo yamefanyika.

Inakuwa na pointi 45 baada ya kucheza mechi 25 nafasi ya 4 na Athletic Club ipo nafasi ya 8 na pointi 37 baada ya kucheza mechi 26 ndani ya La Liga.

Previous articleSIMBA YAPOTEZA KIMATAIFA MBELE YA RS BERKANE
Next articleMUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU