PSG YAMFUTA KAZI POCHETTINO,KOCHA MPYA ATANGAZWA

KLABU ya Paris Saint Germain ya nchini Ufaransa imemtimua kazi kocha wake raia wa Argentina Mauricio Pochettino ikiwa ni baada ya kuwa klabuni hapo kwa kipindi cha mwaka mmoja tu. Pochettino ambaye amewahi kuwa kocha wa Totenham Hotspurs ya nchini Uingereza ametimuliwa kibaruani baada ya kutokuwa na matokeo mazuri katika mashindano ya Klabu Bingwa Barani…

Read More

CITY YAPATA KIPA MPYA MPAKA 2028

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Uingereza Klabu ya Manchester City imetangaza kukamilisha dili la kumsaini kiungo mkabaji wa Klabu ya Leeds United raia wa Uingereza Kalvin Phillips kwa mkataba wa miaka 6 ambao unatarajiwa kumalizika majira ya joto mwaka 2028. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 26 amesajiliwa kwa kiasi cha paundi milioni 45 ambazo…

Read More

NYOTA TANZANIA APATA DILI UBELGIJI

KIUNGO Novatus Dismas ambaye ni winga wa timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars ameweza kupata dili la kujiunga na Klabu ya Zulte Waregen. Kiungo huyo aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Azam FC na alicheza pia katika Klabu ya Biashara  United ambayo imeshuka daraja msimu wa 2021/22 baada ya kupoteza kwa kufungwa mabao 4-1 mbele…

Read More

BAYERN MUNICH WANAKUJA NA JAMBO LINGINE

MSIMU wa 2021/22 haukuwa bora kwa Bayern Munich kama wengi ambavyo walitarajia licha ya kutwaa taji la Bundesliga kwa mara ya kumi mfululizo.  Bayern Munich katika msimu wa 2021/22, walitolewa DFB Pokal dhidi ya Borussia Monchengladbach kwa mabao 5-0, huku Ligi ya Mabingwa Ulaya wakiishia robo fainali wakiondoshwa na Villarreal.  Licha ya Kocha Julian Nagelsmann…

Read More

WINGA WA CHELSEA ZIYECH KUUZWA

MABOSI wa Chelsea, wamekubaliana kumuuza winga wa timu hiyo, Hakim Ziyech ambaye alitua kikosini hapo mwaka 2020 kwa pauni 33.3m. Winga huyo alifanya vizuri wakati akiwa Ajax ambako alidumu kwa misimu minne, akifunga mabao 49 akicheza mechi 165, huku akishinda taji la Ligi ya Uholanzi chini ya Kocha Erik ten Hag. Kocha Thomas Tuchel na…

Read More

GABRIEL JESUS KUIBUKIA ARSENAL

KAMA mambo yakienda sawa, basi wiki ijayo, Arsenal itamtabulisha Gabriel Jesus ambaye wamemnasa kwa pauni 50m akitokea Manchester City.  Arsenal kumpata straika huyo ni baada ya kuzipiku Tottenham na Chelsea ambazo nazo zilionekana kumuhitaji.  Inatajwa kwamba, tayari Arsenal imekamilisha dili hilo na vimesalia vitu vichache tu kumaliza kila kitu na wakati wowote atafanyiwa vipimo vya…

Read More

STAA HUYU KUTOKA LEEDS UNITED MALI YA MAN CITY

KLABU ya Manchester City, imefanikiwa kukamilisha dili la kumsajili kiungo wa Leeds United, Kalvin Phillips kwa pauni 45m.  Kiungo huyo mwenye miaka 26, katika hela yake hiyo ya usajili, pauni 42m ndiyo fedha iliyolipwa, huku pauni 3m itakuwa kwa ajili ya bonasi. Mabingwa hao wa Premier League, wamemsajili Phillips kama mbadala wa Fernandinho ambaye alidumu…

Read More

MO SALAH KUUZWA LIVERPOOL

IMERIPOTIWA  kuwa, Klabu ya Liverpool ipo tayari kumuachia, Mohamed Salah kama wakipata ofa nzuri kuanzia pauni 60m.  Salah amesaliwa na mwaka mmoja katika mkataba wake ndani ya Liverpool, huku kwa muda mrefu wakivutana kwenye ishu ya mkataba mpya.  Baada ya Sadio Mane kuondoka Liverpool hivi karibuni na kutua Bayern Munich, huenda pia wakampoteza na Salah….

Read More

KLOPP BADO ANAMKUMBUKA MANE

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool anaamini kwamba kuondoka kwa Sadio Mane ni jamo gumu kwake kwenda nalo sawa kwa sasa.  Mane raia wa Senegal sasa atakuwa ni mali ya Bayern Munich baada ya timu hiyo kukamilisha usajili wake. Unakuwa ni usajili wa tatu kwa Bayern Munich kukamilika ambapo Mane anakwenda kuchukua mikoba ya Robert…

Read More

DE JONG ATAJWA MANCHESTER UNITED

KOCHA mpya wa Manchester United, Erick ten Hag anatajwa kuwa kwenye hesabu za kumsajili Frenkie de Jong kwa ajili ya kuwa naye kwenye kikosi msimu ujao. Kocha huyo anamuamini kiungo huyo Mholanzi akiamini kwamba atakuwa bora kwenye mfumo wake akimpeleka pale Old Trafford. Ten Hag hataki klabu hiyo imwage fedha kwa wachezaji ambao hawapi kipaumbele…

Read More

REAL MADRID WAFICHUA NAMNA WALIVYOMDHIHAKI SALAH

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Real Madrid Rodrygo Silva de Goes maarufu kama Rodrygo amebainisha kuwa wachezaji wa Real Madrid walipanga kumdhihaki mshambuliaji wa Liverpool na Timu ya Taifa ya Misri Mohamed Salah mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya maarufu kama Uefa. Mshambuliaji huyo amenukuliwa akisema:“Pale inapotokea mtu…

Read More

TUCHEL ANAMTAKA LEWANDOWSKI

KOCHA Mkuu wa klabu ya Chelsea raia wa Ujerumani Thomas Tuchel ameisisitizia Bodi ya klabu hiyo kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha inapata saini ya mshambuliaji hatari wa Bayern Munich na Timu ya Taifa ya Poland Robert Lewandowski. Tuchel anatamani Lewandowski achukue mikoba ya Romelu Lukaku ambaye anatazamiwa kujiunga na klabu yake ya zamani ya Inter Milan…

Read More

WATATU WA YANGA KUIKOSA COASTAL UNION

MASTAA watatu wa Yanga wanatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Juni 14,2022. Diarra Djigui kipa namba moja wa Yanga anatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, kesho Jumatano saa 2:30 usiku ukiwa ni wa mzunguko wa pili. Sababu kubwa ambayo itamfanya aweze kuukosa mchezo huo…

Read More

MASTAA HAWA 11 WANASEPA NDANI YA MANCHESTER UNITED

KLABU ya Manchester United, imethibitisha kuondoka kwa nyota wake 11, kati ya hao yupo Paul Pogba na Jesse Lingard. Wachezaji hao wanaondoka kwa sababu tofauti ikiwemo mikataba yao kumalizika na wengine kustaafu kucheza soka. Edinson Cavani, Paul Pogba, Nemanja Matic, Jesse Lingard na Juan Mata, wanaondoka baada ya mikataba yao kumalizika. Kipa Lee Grant, yeye…

Read More

ARTETA HOFU TUPU KISA JESUS

 KOCHA Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta hajapenda kuona timu hiyo ikienda kwa kasi ya taratibu kuwania kuinasa saini ya Gabriel Jesus. Arteta ana hofu huenda akaikosa saini ya nyota huyo wa Manchester City ambayo ni muhimu kwake kwa ajili ya msimu ujao. Usajili uliopita Arteta alitumia pauni milioni 150 kukamilisha usajili wa Ben White,Aaron Ramsdale…

Read More