SIMBA NA YANGA MAKUNDI WEKENI HESABU ZA LAZIMA

SAFARI ya kwenda Rwanda, safari kwenda Zambia zote zilikuwa na upekee wake. Nianze na dua, Mwenyezi Mungu awatangulie ndugu zetu wafike salama na kurejea salama. Yanga ni Rwanda katika mechi yao ya kwanza  dhidi ya wageni wenzao El Merreikh ya Sudan ambao wamechagua kucheza Rwanda kutokana na matatizo ya vita nchini mwao. Wakati Simba wao…

Read More

KASI YA LIGI ISIPOE, KAZI JUU YA KAZI

LIGI Kuu Bara ambayo ilianza kwa kasi kutokana na maandalizi ambayo yalifanywa na timu zote. Ni burudani iliyokuwa imekosekana kwa muda na sasa ni msimu mpya. Ipo wazi kuwa kabla ya ligi kusimama mashabiki walipata ile ladha ya mpira waliyoikosa kwa muda. Hakika pongezi kwa wachezaji namna walivyoanza kwa kujituma kusaka ushindi. Muda uliopo kwa…

Read More

WAKATI WA MAPUMZIKO KAZI IENDELEE

WAKATI wa mapumziko wachezaji wengi wamekuwa wakiendelea na maisha ya kawaida nje yay ale waliyokuwa wakiishi walipokuwa kambini ama wakati wa maandalizi ya mechi za kitaifa na kimataifa. Singida Fountain Gate hawa wapo kwenye Kombe la Shirikisho Afrika huku Yanga na Simba wakiwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Kazi yao inapaswa kuwa kubwa kupeperusha bendera…

Read More

AKUANZAE MMALIZE, ANGA LA BURUDANI LILIPATWA

MUZIKI unakua na muziki unatanuka na kupaisha mbawa zake kona mbalimbali za Dunia hii. Sio ajabu kumkuta mtu anasikiliza wimbo ambao hajui hata maana yake ila akaufurahia kwa hisia zake zote. Katika muziki wa kufokafoka ‘Hip-Hop’ sio ajabu sana kukuta wasanii wakitupiana maneno au wakivimbiana kwa kitu fulani au jambo fulani. Huyu atasema yeye ni…

Read More

SUALA LA MIKATABA LINAHITAJI UMAKINI

WACHEZAJI wengi kwenye timu mbalimbali Bongo wamekutana na Thank You kutokana na kile ambacho viongozi wameaona ilipaswa kufanyika hivyo. Sio Simba, Yanga, Azam FC, Singida Fountain Gate mpaka Geita Gold kuna wachezaji ambao walikutana na mkono wa asante. Pia kuna timu ambazo zilikutana na adhabu kutokana na kushindwa kuwalipa wachezaji ama makocha baada ya kuachana…

Read More

KIMATAIFA FANYENI KWELI KAZI BADO IPO

KUPEWA majukumu katika timu Bongo kwa wachezaji ni jambo muhimu kuzingatia na kila mmoja kufanya kwa wakati kile kinachotakiwa ndani ya uwanja. Kwenye mechi za kimataifa hapo nguvu kubwa zinahitajika mbali na uwekezaji na wachezaji nao wanapaswa kujituma bila kuogopa. Tumeshuhudia namna Singida Fountain Gate walivyopenya hatua inayofuata kwenye Kombe la Shirikisho kwa kupata upinzani…

Read More

ANAYECHEKA MWISHO HUYO HUCHEKA ZAIDI

KIKOSI cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga kete yake ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara ilikuwa ni Agosti 23 Uwanja wa Azam Complex. Kwenye mchezo huo ilishuhudia ubao ukisoma Yanga 5-0 KMC ukiwa ni mchezo uliokusanya mabao mengi ndani ya dakika 90 kwenye mechi za ufunguzi msimu wa 2023/24. Yanga iliingia katika mchezo…

Read More

MUDA WA MIPANGO NI SASA LIGI INAHITAJI NGUVU

MUDA uliopo kwa sasa ni kwa ajili ya msimu mpya ambapo maandalizi yanapaswa kuwa endelevu kwa kila mchezo husika. Matokeo yanayopatikana uwanjani baada ya dakika 90 inatokana na kile ambacho wachezaji wameamua kukionyesha kwenye mchezo husika. Ni anga la kitaifa na kimataifa timu zina kazi ya kupambana kufanya vizuri kwa kuwa furaha inabebwa na matokeo…

Read More

HAKI MUHIMU KUZINGATIWA NDANI YA LIGI KUU BARA

KASI ya Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa kwanza imekuwa kubwa na kila timu inaonyesha ushindani wake ndani ya dakika 90 kusaka ushindi hili ni jambo kubwa na muhimu. Sio Singida Fountain Gate, Namungo wala Ihefu zote zinapambana kufanya kweli hata zile ambazo zimepanda msimu huu kutoka Championship ikiwa ni Mashujaa na JKT Tanzania. Kila…

Read More

LIGI IMEANZA NA UKIMYA, WAAMUZI MSINYONGE HADHARANI TENA

TUPO kwenye Ligi Kuu Bara, kipindi ambacho kilikuwa kinasubiriwa kwa hamu kubwa ikiwa ni msimu wa 2023/24. Mashabiki wa mpira nchini walisubiri kwa hamu kubwa kuona ligi inaanza tena. Hilo likatokea na tumefanikiwa kuona mambo yakienda vizuri sana. Ligi imekuwa na msisimko mkubwa licha ya kwamba, mabingwa watetezi Yanga wameshindwa kuanza mechi za ligi baada…

Read More

DANADANA ZA LAVIA ZIMEGOTA MWISHO, LIVERPOOL NDO BASI

BAADA ya danadana za kutosha, hatimaye Chelsea imekamilisha usajili wa kiungo rasta, Romeo Lavia kutoka Southampton. Kiungo huyo kinda ambaye timu yake ya Southampton ilishuka daraja msimu uliopita alikuwa akitakiwa kwa ukaribu zaidi na Liverpool lakini akachagua Chelsea ambayo amejiunga nayo kwa ada ya pauni mil 53 kukiwa na nyongeza ya pauni mil 5. Lavia…

Read More

NANI KUVUNJA REKODI YA MAYELE YANGA?

USIKU wa deni haukawii kukucha, ndivyo unavyoweza kusema kwani hatimaye kivumbi cha mashindano ya kimataifa yaani Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kimeanza kutimua vumbi rasmi Ijumaa na kinatarajiwa kuendelea wikiendi hii. Kwa upande wa Tanzania Bara msimu huu tunatarajiwa kushirikisha timu nne katika mashindano hayo, ambapo timu za Yanga na Simba…

Read More