MAPILATO WA YANGA V SIMBA,PENALTI,KADI KAMA ZOTE

MAPILATO wa mchezo wa leo wa Yanga v Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa unaambiwa weka mbali na watoto kutokana na rekodi zao kuwa ni za moto kila wanapochezesha mechi. Waamuzi ambao wapo kwenye orodha iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania ambao ni Ellyi Sasii, Mohamed Mkono, Frank Komba na Ramadhan Kayoko ambaye atakuwa mwamuzi…

Read More

REKODI ZA MASTAA WA YANGA V SIMBA,KIKOSI KAMILI

ULE utundu wa kutamba sasa unakaribia lakini kwa jeshi hili la Yanga na Simba, Aprili 30 unadhani nini kitatokea? Ngoma inatarajiwa kupigwa kwa watani hawa wa jadi ambapo vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 54 na mabao 35 na Simba wao wana pointi 41 na safu ya ushambuliaji imefunga mabao 23. Hapa tunakuletea jeshi…

Read More

MILIONI 400 ZAWEKWA MEZANI YANGA ISEPE NA POINTI ZA SIMBA

KATIKA kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Simba, Mdhamini wa Yanga, Bilionea Gharib Said Mohammed ‘GSM’,hivi karibuni alifanya kikao kizito na wachezaji wakiongozwa na mshambuliaji Fiston Mayele. Katika kikao hicho ambacho kilienda sambamba na kufturu pamoja, pia benchi lote la ufundi la timu hiyo linaloongozwa na Kocha Mkuu, Mtunisia, Nasreddine Nabi, lilikuwepo. Hiyo ni katika kuweka…

Read More

VITA YA YANGA V SIMA IPO NAMNA HII

KESHO kutakuwa na mchezo wa watani wa jadi katika Ligi kuu Tanzania Bara ambapo Yanga itaikaribisha Simba. Simba katika mchezo wa mzunguko wa kwanza ambao walikuwa wenyeji wa Yanga, matokeo yalikuwa 0-0. Tukienda kushuhudia mchezo wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kufanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar, Yanga wataingia wakiwa na pointi 13 zaidi…

Read More

MAPILATO HAYA YANGA V SIMBA ACHA KABISA

MCHUJO mkubwa kwa sasa ambao unaendelea kwa sasa ni kwa mapilato watakaokuwa kwenye mchezo wa Yanga v Simba unaotarajiwa kuchezwa Aprili 30, Uwanja wa Mkapa. Siku 2 zimebaki kwa sasa na hapa tunakuletea wale waamuzi watano ambao waliwahi kuchezesha mechi zilizowahusu Yanga na Simba na huenda jina moja likapenya kwa wale watakaochezesha dabi ijayo na…

Read More

HAWAAMINI MACHO YAO IMEGOTA UKINGONI,TUTAONANA BAADAYE

HAWAAMINI macho yao imefika ukingoni kwa mashabiki wa Simba nao kutoamini walichokiona kwa wachezaji wao kushindwa kufikia lengo la kutinga hatua ya nusu fainali. Kupoteza kwa kufungwa penalti 4-3 mbele ya Orlando Pirates kumezima matarajio ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kutinga hatua ya nusu fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Hesabu zilikuwa…

Read More

RUDIGER KUIBUKIA REAL MADRID

KOCHA wa Chelsea, Antonio Conte amethibitisha kuwa beki wa kikosi cha timu hiyo, Antonio Rudiger ataondoka kikosini hapo ifikapo mwisho wa msimu huu. Klabu ya Real Madrid inapewa chapuo la kuinasa saini ya nyota huyo ambaye ana uwezo mkubwa kwenye suala a kutimiza majukumu yake awapo uwanjani. Nyota huyo anatajwa kuondoka bure kwa kuwa dili…

Read More

NAMNA REKODI DUME ILIVYOTIBULIWA UWANJA WA MKAPA

ZILE ngome za ubishi kati ya vinara wa Ligi Kuu Bara,Yanga dhidi ya wakali kutoka kusini Namungo zimevunjwavunjwa na hatimaye mbabe ameweza kupatikana kwenye mchezo wa sita. Dakika 450 za machozi na jasho zimevunjwa Yanga imeibuka na ushindi baada ya kuweza kucheza mechi tano ambazo ni dk 450 bila kuambulia ushindi na badala yake wote…

Read More

YANGA V NAMUNGO,KAZI IPO LEO KWA MKAPA

KUMEKUCHA sasa leo ni Yanga v Namungo, Uwanja wa Mkapa ngoma inatarajiwa kupigwa ikiwa ni Aprili 23,2022. Kazi kubwa ni kwa vinara Yanga wenye pointi 51 watakapokuwa wakimenyana na Namungo FC iliyo na pointi 29 ndani ya ligi. Ugumu wao huwa unakuwa namna hii:- Wakali wa nyavu Kwa Yanga wao wanaye mzee wa kutetema, Fiston…

Read More

ORLANDO SIO WATU WAZURI LAZIMA SIMBA IJIPANGE

TAYARI ile ngwe ya kwanza kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali kwa Simba imeshakamilisha na mpango kazi wa awali umeshakwisha. Mbele ya mashabiki wao wengi waliojitokeza 60,000, Simba ilifanikiwa kushinda bao 1-0 dhidi ya Kaizer Chiefs kwenye mchezo ambao ulikuwa unahitajika ushindi. Hapa ni dk 90 za mwanzo nyumbani na kuna dk nyingine za…

Read More

CHIZIKA NA GURUDUMU LA BAHATI KWENYE KASINO YA Meridianbet

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni – Evolution Gaming, wanakuletea mchezo wa kijanja uitwao Crazy Time. Crazy Time ni mchezo wa kipekee kutoka studio za Evolution Gaming. Mchezo huu umejengwa na dhamira ya kukamilisha ndoto ambazo hudakwa na kinasa ndoto (Dream Catcher). Usisubiri kusimuliwa kwasababu, mchezo huu utakupa…

Read More

NAMNA PUMZI YA MOTO ILIVUTWA UWANJA WA MKAPA

ILE pumzi ya moto wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, hatua ya robo fainali Orlando Pirates waliivuta baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0, Uwanja wa Mkapa. Wimbo wa matumizi ya nafasi zinazotengenezwa kwa Simba utadumu kwenye vichwa vyao kwa kuwa mashuti 17 waliyopiga ni matano yalilenga lango la wapinzani wao. Kwa…

Read More

U 17 WAMEANZA MWENDO,WAUNGWE MKONO

HATUA moja kila wakati tunaona kwa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 kwa namna ambavyo wanafanya vizuri kwenye mechi za kuwania Kufuzu Tiketi ya Kombe la Dunia. Pongezi kwa Serengeti Girls baada ya kuweza kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Burundi mchezo uliochezwa Uwanja wa Urukundo,Ngozi nchini Burundi. Haukuwa mchezo mwepesi…

Read More

PAN AFRICAN,GWAMBINA KUNANI HUKO WAUNGWANA?

KUNANI pale ndani ya Pan African moja ya timu yenye historia kwenye ulimwengu wa mpira ila ghafla kwa sasa mambo yanaonekana kwenda tofauti. Tunaona kwamba kwenye mzunguko wa pili upepo umebadilika kwa mabingwa hawa wa ligi mwaka 1982 bado hawajawa kwenye mwendo mzuri. Kocha aliyekuwa akiwafundisha hivi karibuni tulipewa taarifa kwamba ameshachimbishwa kisha akafuata kipa…

Read More