BILA KUFUNGWA KIMATAIFA SIMBA KAZI HAIJAISHA

DAKIKA 180 kimataifa dhidi ya Nyassa Big Bullets lango la Simba lilikuwa salama chini ya kiongozi Aishi Manula aliyekuwa langoni. Huyu ni kipa namba moja ambaye anazidi kuwa imara kila anapokaa langoni na huwa anafanya makosa ambayo yanapelekea kufungwa. Kufungwa haina maana kwamba hayupo imara hapana ni matokeo ambayo yanatokea uwanjani na wakati unakuja anafanyia…

Read More

WAWAKILISHI WA TANZANIA KIMATAIFA MUHIMU KUJITOA

WAWAKILISHI wa kimataifa leo wanatarajiwa kutupa ket zao kwenye mechi za awali kusaka ushindi ndani ya dakika 90 za awali kabla ya nyingine tena. Yanga wao watakuwa ugenini wakicheza na Zalan FC ya Sudan Uwanja wa Mkapa, Simba itakuwa ugenini kucheza dhidi ya Big Bullets na KMKM wao watakuwa ugenini dhidi ya Al Ahly Tripol….

Read More

ORODHA YA MASTAA KUTOKA DR CONGO YATAWALA BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa 2022/23 imeanza kwa ushindani mkubwa huku kila timu zikikamilisha usajili wao kwa kile ambacho walikuwa wanahitaji. Nyota wapya wakigeni wapo ikiwa ni pamoja na kutoka Uganda, Burundi, Rwanda lakini nyota kutoka DR Congo wametawala soka la Bongo. Hapa tunakuletea baadhi ya nyota wakigeni kutoka DR Congo ambao wanakipiga kwenye…

Read More

TAIFA STARS KAZI KUBWA IFANYIKE KUSAKA USHINDI

BADO kazi haijaisha kwa wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ ambao leo wanatarajiwa kutupa kete ya pili kwenye mchezo wao wa pili dhidi ya Timu ya Taifa ya Uganda. Dakika 90 za mwanzo zilikuwa na maumivu hasa baada ya Stars kuambulia kichapo cha bao 1-0 kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo…

Read More

WACHEZAJI STARS KAZI IPO KWENU KUJITUMA KUTAFUTA MATOKEO

IMESHATOKEA kwenye mchezo wa kwanza wa kuwania kufuzu Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wachezaji wa ndani, (CHAN) kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kupoteza. Hamna namna ilikuwa lazima iwe hivyo kwa sababu mpira ni mchezo wa makosa na pale ambapo wachezaji walikosea wapinzani wakatumia nafasi hiyo kuweza kutuadhabi. Matokeo huwezi kubadili…

Read More

KOCHA YANGA AITAMANI REKODI YA SIMBA CAF

KOCHA wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nienov, ameweka wazi kuwa, ndoto yake ni kuona anafikia rekodi aliyoiweka akiwa na Simba ya kufika angalau robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Mbrazili huyo ameweka wazi kuwa, wana nafasi kubwa ya kufikia mafanikio hayo kutokana na ubora wa kikosi walichonacho msimu huu. Katika michuano…

Read More

DABI YAO YA KWANZA MASTAA HAWA WA SIMBA

AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba kuna nyota ambao itakuwa ni dabi yao ya kwanza. Chini ya Zoran Maki wachezaji hao ni pamoja na Moses Phiri aliibuka Simba akitokea Zanaco. Pia yupo Nassoro Kapama mzawa kutoka ndani ya Kagera Sugar. Habib Kyombo mzawa kutoka…

Read More

MASTAA HAWA YANGA NI DABI YAO YA KWANZA

AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba. Ni saa 1:00 usiku mchezo huo unatarajiwa huku kila timu ikiwea wazi kwamba inahitaji kupata ushindi. Kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuna mastaa wapya ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza kucheza mchezo wa Kariakoo…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA MSIMU WA 2022/23

KIKOSI cha Simba msimu wa 2022/23 ambacho kilitambulishwa Agosti 8/2022 kwenye kilele cha Simba Day ambapo walicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya St George na Simba ilishinda mabao 2-0. Ally Salim-1 Beno Kakolanya-30 Aishi Manula-28 Israel Mwenda-5 Shomari Kapombe-12 Gadiel Michael-2 Mhamed Hussein-15 Nassoro Kapama-35 Erasto Nyoni-18 Kennedy Juma-26 Joash Onyango-16 Mohamed Ouattra-33 Henock Inonga-29…

Read More

MAANDALIZI MUHIMU KWA SERENGETI GIRLS

KUWEZA kufuzu Kombe la Dunia ni hatua moja muhimu na kuweza kufanya maandalizi mazurini hatua ambayo inahitajika kuweza kufanyika kwa sasa. Tunaona kwamba Serengeti Girls ambayo ni Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17 ina kibarua cha kufanya kimataifa. Kombe la Dunia lipo njiani ambapo inatarajiwa kuweza kufanyika nchini India kuanzia Oktoba 11-30…

Read More

TAIFA STARS WANASTAHILI PONGEZI KIDOGO

USHINDI unaleta furaha,ushindi unaleta kicheko ushindi unarejesha lile tabasamu ambalo lilikuwa limejificha kwenye sura ya yule aliyekuwa na makasiriko. Unadhani ushindi unaleta hayo tu,hapana kuna mengi ambayo yanaletwa na ushindi ikiwa ni pamoja na furaha na kuhisi kwamba kila kitu unachogusa kinakutii na kile ambacho hauna mamlaka nacho kinakusikiliza kwa umakini. Ushindi upi ambao unaweza…

Read More

MUDA WA DHAHABU UMEBAKI UTUMIKE KWA UMAKINI

MUDA uliobaki kwa sasa ni wa dhahabu kwa timu zote ambazo zinajiandaa na msimu ujao wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa sasa siku zinahesabiki hasa kuelekea mwanzo wa msimu ujao ukizingatia kwamba Agosti 13 mchezo wa Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa. Huu mchezo ni maalumu kwa ajili ya ufunguzi wa ligi na…

Read More

MANARA ANAVYOGOMBANA NA MANARA MWENYEWE

“HAIWEZEKANI mpira ukaendeshwa kwa kulalamika lalamika, haiwezekani, niwapongeze sana TFF, Bodi ya Ligi na Serikali kwa kusimamia nidhamu ya mpira wa miguu ndani na nje ya uwanja wanatoa sapoti ligi inachezwa…..” Hizo ni baadhi ya kauli za msemaji wa mabingwa wa kihistoria Yanga SC, Haji Manara kipindi akiwa Simba ambapo alionyesha kuchukizwa waziwazi na kitendo…

Read More