MAMBO MAKUBWA MAWILI YA KUFANYA KWA SASA

MAMBO makubwa mawili kwa sasa yapo kwenye hesabu za kila mmoja,mwisho wa msimu pamoja na mwanzo wa msimu mpya. Haya lazima yaweze kuzunguka kwenye familia ya mpira hasa ukizingatia kwamba muhimu kila mmoja kufanya yale ambayo yanamuhusu kutimiza. Ukweli ni kwamba kila timu iwe ni ya ligi pamoja na zile ambazo zilikuwa kwenye Championship zina…

Read More

USAJILI UZINGATIE MAPENDEKEZO YA BENCHI LA UFUNDI

BADO dirisha la usajili halijafunguliwa rasmi kwa sasa ila muhimu kuongeza nguvu kwenye vikosi ikiwa ni maandalizi ya msimu ujao ambao upo njiani kuweza kuanza tena.  Kikubwa kwa sasa ni kuanza kupitia yale mapendekezo ya mwalimu ambayo alitoa kuna yale majalada ya wakati ule wa usajili wa dirisha dogo mahali ambapo hapakukamilishwa basi pafanyiwe kazi….

Read More

MASTAA HAWA WAMEANZA KUONYESHA MAKEKE JIONI

MUDA wa mahesabu wapo ambao huwa hawajali itakuaje zaidi ya kuendelea kupambana mpaka wanafikia lengo lao wakiamini kwamba anayecheka mwisho huwa na furaha zaidi. Kuna mastaa msimu wa 2021/22 kwao walianza kwa kusausa na sasa ligi ikiwa inakaribia kumeguka kwa shimo limeanza kutema jioni kabisa namna hii:- Jeremia Juma Staa wa kwanza kufunga hat trick…

Read More

TUWEKEZE NGUVU KUBWA SOKA LA WANAWAKE

PONGEZI kubwa kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17, Serengeti Girls kwa kuweza kutanguliza mguu mmoja hatua ya kufuzu Kombe la Dunia. Ushindi walioupata nchini Cameroon una maana kubwa hivyo ni zamu yao kuweza kuendeleza ule mwendo ambao wameanza nao bila kuchoka. Tuna amini kwamba mchezo wa marudio utatoa picha…

Read More

JOHN BOCCO KWENYE KIBARUA KIGUMU SIMBA

 MSIMU wa 2021/22, nahodha wa Simba John Bocco ametupia mabao mawili kwenye Ligi Kuu Bara ambayo imekuwa na ushindani mkubwa. Bao lake la kwanza alifunga mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ni baada ya kupitia msoto wa muda mrefu bila kufunga. Bao lake la pili alifunga mbele ya Kagera Sugar,…

Read More

CHEKI NYOTA WALIOKOSA PENALTI BONGO

LIKIWEKWA tuta,asilimia 98 wengi wanahesabu ngoma lazima ijae wavuni lakini kuna mastaa wengi ambao wamekwama kufanya hivyo kwenye uwanja. Kitete cha kutetema hakikuwa kwa Fiston Mayele tu msimu huu hata Meddie Kagere wa Simba alipata kitete cha kufunga. Rekodi zinaonyesha kwamba kitete cha penalti kipo kwa mastaa wa Simba ambao wamekosa penalti nyingi,hapa tunakuletea baadhi…

Read More

MAPITO YA GEORGE MPOLE NA GUMZO LAKE KWA SASA

KWA sasa gumzo kubwa kwenye Ligi Kuu Bara ni mshambuliaji George Mpole anayekipiga pale Geita Gold FC akiwa mzawa mwenye mabao mengi kwenye ligi msimu huu huku nafasi ya kutwaa kiatu cha ufungaji bora kwa upande wake ipo kwa asilimia 60 hadi sasa. Mpole amehusika kwenye mabao 15 ya Geita Gold ambapo hadi sasa amefunga…

Read More

MECHI 100 ZA BABA ESTER SOMO KUBWA KWA WENGINE

MECHI 100 kwa Shomari Kapombe akiwa na Simba tokea 2018 ni kazi kubwa ambayo ameifanya mkongwe huyu mwenye uwezo wa kupanda na kushuka. Yes, kwanza tuwapongeze Simba angalau kukumbuka wana mchezaji amecheza mechi idadi hiyo. Kwa kufanya hivyo itawaumbusha na wengine waweze kutambua kwamba kuna wachezaji wao wamecheza mechi ngapi na itawapa heshima kutamua mchango…

Read More

VILE PUMZI YA MOTO ITAVUTWA LEO UWANJA WA MKAPA

ILE pumzi ya moto itavutwa kwelikweli kwa wababe wawili wanaotarajiwa kukutana leo Uwanja wa Mkapa,Simba v Ruvu Shooting. Ikumbukwe kwamba wababe hawa hawajawa kwenye mwendo unaopendeza hivyo kila mmoja atakuwa anatafuta sehemu ya kutokea na haya yatafanya pumzi ivutwe namna hii:- Dakika 270 bila tabasamu Wababe hawa wanakutana wakiwa wametoka kukamilisha dk 270 ambazo ni…

Read More

USHINDANI WA LIGI UPUNGUZE MAMBO MENGI

LIGI inazidi kupamba moto kwa sasa na hilo lipo wazi hasa ukitazama namna ambavyo timu zinacheza kwa sasa kwenye mzunguko huu wa pili. Ukitazama namna pointi walizoachana kuanzia yule aliyepo nafasi ya mwisho mpaka iliyopo ndani ya 10 bora sio namba ya kutisha na zote kwa sasa bado zinapambania kushuka daraja. Ajabu ni kwamba hata…

Read More

MAPILATO WA YANGA V SIMBA,PENALTI,KADI KAMA ZOTE

MAPILATO wa mchezo wa leo wa Yanga v Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa unaambiwa weka mbali na watoto kutokana na rekodi zao kuwa ni za moto kila wanapochezesha mechi. Waamuzi ambao wapo kwenye orodha iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania ambao ni Ellyi Sasii, Mohamed Mkono, Frank Komba na Ramadhan Kayoko ambaye atakuwa mwamuzi…

Read More

REKODI ZA MASTAA WA YANGA V SIMBA,KIKOSI KAMILI

ULE utundu wa kutamba sasa unakaribia lakini kwa jeshi hili la Yanga na Simba, Aprili 30 unadhani nini kitatokea? Ngoma inatarajiwa kupigwa kwa watani hawa wa jadi ambapo vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 54 na mabao 35 na Simba wao wana pointi 41 na safu ya ushambuliaji imefunga mabao 23. Hapa tunakuletea jeshi…

Read More