HESHIMA KWA MKAPA KIMATAIFA USHINDI

HESHIMA ya Uwanja wa Mkapa kwenye mechi za kimataifa ni ushindi hilo linawastahili Watanzania na mashabiki wote ambao wanapenda matokeo mazuri. Ipo hivyo kwa sasa wawakilishi wetu kwenye anga la kimataifa Yanga na Simba wanakazi kubwa kusaka pointi tatu muhimu. Simba wataanza kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo watakabiliana na Vipers mchezo ambao…

Read More

VITA YA MABINGWA NA WAJELAJELA

INGEKUWA ni mchezo wa Ligi Kuu Bara tungesema ni tatu zinasakwa ndani ya tatu kwa wababe wawili ambao watavuja jasho ndani ya dakika 90. Bahati nzuri ni hatua ya 16 bora Kombe la Azam Sports Federation ambapo yule atakayetunguliwa inakuwa ni kwaheri ya kuonana wakati ujao. Ni vita ya mabingwa watetezi Yanga chini ya Kocha…

Read More

MECHI ZA NYUMBANI ANGA ZA KIMATAIFA HESABU MUHIMU

MECHI za nyumbani kwenye anga za kimataifa zina umuhimu mkubwa kwa wawakilishi kimataifa kupata ushindi kuzidi kujiongezea hali ya kupata nafasi kutoka kwenye hatua ambayo wapo. Hatua ya makundi ni kituo kinachowasafirisha wawakilishi mpaka hatua ya robo fainali ambayo inaongeza thamani kwa wachezaji pamoja na timu kuzidi kuwa bora. Ushindi kwenye mechi za nyumbani ni…

Read More

SUPER SUNDAY IWE SUPER KWELI,HESABU ZA YANGA HIZI HAPA

 WANASEMA mwili haujengwi kwa mawe bali ugali na mbonga majani zile za kutoka shambani, ikitokea umekwama kuingia shambani basi tarajia kukosa kuujenga mwili. Weka kando hayo kuna shamba la ushindi ambalo wengi wanatarajia kuliona leo ndani ya dakika 90, Uwanja wa Mkapa ambapo Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya TP Mazembe. Ikumbukwe…

Read More

POROJO HAZIJENGI, KIMATAIFA VITENDO ZAIDI KWA MKAPA

KIKOMBE wanachokutana nacho wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ni cha moto ni muhimu kukishika kwa tahadhari na sio porojo. Kwa Yanga ambao Jumapili watacheza dhidi ya TP Mazembe na Simba ambao watacheza dhidi ya Raja Casablanca wote wapo kwenye eneo gumu na wasipofanya maandalizi mazuri itakuwa ngumu kwao kupenya. Nafasi za kushinda ni…

Read More

KIMATAIFA INAWEZEKANA KAZI KUBWA IFANYIKE

HAKIKA kwa sasa mambo yamezidi kupamba moto kwenye anga za kimataifa ambapo leo Simba wana kazi yakufanya kwenye anga za kimataifa Simba ambao ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kazi yao ni kwenye mchezo wa makundi ikiwa ni dhidi ya HoroyaAC hautakuwa mchezo mwepesi wala mgumu muhimu maandalizi mazuri. Kwa wachezaji kazi…

Read More

MWISHO WA MJADALA, MOROCCO INATOSHA AFCON 2025

Saleh Ally, Casablanca NOVEMBA mwaka jana wakati wa Fainali za Ligi ya Mabingwa ya Wanawake iliyofanyika nchini hapa, Rais wa Caf, Patrice Motsepe aliwakaribisha Morocco kuingia kuomba kuandaa mashindano ya Afcon mwaka 2025. Motsepe hakuwa na choyo katika maneno yake, alieleza wazi ambavyo amekuwa akivutiwa na Morocco inavyojipanga katika masuala kadhaa ya soka lakini pia…

Read More

KIMATAIFA SHUGHULI NI KUBWA MIPANGO MUHIMU

KUTABIRIKA kwa matokeo hakuna kwenye ulimwengu wa soka kutokana na kila timu kujipanga kwa umakini kupata ushindi. Iwe ni nyumbani ama ugenini kwa sasa kila timu ina nafasi ya kupata matokeo hasa kwenye mechi za kimataifa ambazo ufuatiliaji wake huwa ni kwa ukaribu. Wale ambao hawajaanza maandalizi kwenye mechi za kimataifa kwa sasa kazi ni…

Read More

MAYELE ANATOA SOMO LA BURE KWA WENGINE

FISTON Mayele ni mshambuliaji ambaye sio mwepesi kukata tamaa akiwa uwanjani, akikutana na makipa wenye mbwembwe huwa anawatazama kisha akishagundua tabia yao hapo anaongeza presha kwenye namna ya uokoaji na kutoa pasi. Amekuwa bora kwa misimu miwili mfululizo na kwenye mechi zote ambazo amecheza hajui ladha ya kuonyeshwa kadi ya njano ikiwa inamaanisha ana nidhamu…

Read More

ASANTE JANUARI, KARIBU MWEZI WA UPENDO

YAPO mengimengi ambayo yanakatisha tamaa lakini yasikupe maumivu ukaacha kupambana kwa ajili ya kufikia malengo. Ilikua hivyo Januari Mosi kwenye mapambano na sasa ni Januari 31, unadhani unaweza kusema nini zaidi ya asante Januari, karibu mwezi wa upendo Februari. Yote kwa yote kuna matukio ambayo yalitokea ndani ya Januari yataishi kwenye kumbukumbu namna hii katika…

Read More

BADO KAZI INAENDELEA, HAKUNA KUKATA TAMAA

MIGUSO ya furaha inaonekana kuanza kuyeyuka kwa baadhi ya mashabiki kutokana na timu zao kushindwa kupata matokeo kwenye mechi za Kombe la Shiriksho. Hakika kila mmoja anapenda kuona kile anachofikiria kinafanikiwa na ikiwa ngumu kutokea inakuwa ngumu kuamini. Imeshakuwa hivyo hakuna namna nyingine ya kuzuia kwa sababu mpira ni mchezo wa makosa yule ambaye atakosea…

Read More

WACHEZAJI ONYESHENI MAKALI UWANJANI

HAKUNA anayependa kuona anakosa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza kwenye mechi ambazo timu yake itakuwa inacheza ndani ya uwanja. Imekuwa kawaida kwa wachezaji wanaopewa nafasi kutoonyesha utofauti wao na yule ambaye anakuwa asungua benchi jambo ambalo linapaswa kuwa tofauti. Sababu kubwa ya wachezaji kuwekwa benchi ni kushindwa kwenda na mpango kazi wa benchi la…

Read More

LILE PIRA DUBAI LA SAMBA LOKETO LILIPIGWA NA NYUNDO

ILIKUWA mwendo wa msako wa pointi tatu kwa timu zote mbili ambazo msimu wa 2022/23 zimekuwa zikionyeshana ubabe haswa ndani ya dakika 90. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliviera iliyotamba kuja na pira Samba Loketo liligongwa nyundo kinomanoma na Mbeya City inayonolewa na Adallah Mubinu. Mchezo wa fungua mwaka 2023 kwa Simba na mchezo…

Read More