WACHEZAJI STARS KAZI IPO KWENU KUJITUMA KUTAFUTA MATOKEO

IMESHATOKEA kwenye mchezo wa kwanza wa kuwania kufuzu Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wachezaji wa ndani, (CHAN) kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kupoteza. Hamna namna ilikuwa lazima iwe hivyo kwa sababu mpira ni mchezo wa makosa na pale ambapo wachezaji walikosea wapinzani wakatumia nafasi hiyo kuweza kutuadhabi. Matokeo huwezi kubadili…

Read More

KOCHA YANGA AITAMANI REKODI YA SIMBA CAF

KOCHA wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nienov, ameweka wazi kuwa, ndoto yake ni kuona anafikia rekodi aliyoiweka akiwa na Simba ya kufika angalau robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Mbrazili huyo ameweka wazi kuwa, wana nafasi kubwa ya kufikia mafanikio hayo kutokana na ubora wa kikosi walichonacho msimu huu. Katika michuano…

Read More

DABI YAO YA KWANZA MASTAA HAWA WA SIMBA

AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba kuna nyota ambao itakuwa ni dabi yao ya kwanza. Chini ya Zoran Maki wachezaji hao ni pamoja na Moses Phiri aliibuka Simba akitokea Zanaco. Pia yupo Nassoro Kapama mzawa kutoka ndani ya Kagera Sugar. Habib Kyombo mzawa kutoka…

Read More

MASTAA HAWA YANGA NI DABI YAO YA KWANZA

AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba. Ni saa 1:00 usiku mchezo huo unatarajiwa huku kila timu ikiwea wazi kwamba inahitaji kupata ushindi. Kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuna mastaa wapya ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza kucheza mchezo wa Kariakoo…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA MSIMU WA 2022/23

KIKOSI cha Simba msimu wa 2022/23 ambacho kilitambulishwa Agosti 8/2022 kwenye kilele cha Simba Day ambapo walicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya St George na Simba ilishinda mabao 2-0. Ally Salim-1 Beno Kakolanya-30 Aishi Manula-28 Israel Mwenda-5 Shomari Kapombe-12 Gadiel Michael-2 Mhamed Hussein-15 Nassoro Kapama-35 Erasto Nyoni-18 Kennedy Juma-26 Joash Onyango-16 Mohamed Ouattra-33 Henock Inonga-29…

Read More

MAANDALIZI MUHIMU KWA SERENGETI GIRLS

KUWEZA kufuzu Kombe la Dunia ni hatua moja muhimu na kuweza kufanya maandalizi mazurini hatua ambayo inahitajika kuweza kufanyika kwa sasa. Tunaona kwamba Serengeti Girls ambayo ni Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17 ina kibarua cha kufanya kimataifa. Kombe la Dunia lipo njiani ambapo inatarajiwa kuweza kufanyika nchini India kuanzia Oktoba 11-30…

Read More

TAIFA STARS WANASTAHILI PONGEZI KIDOGO

USHINDI unaleta furaha,ushindi unaleta kicheko ushindi unarejesha lile tabasamu ambalo lilikuwa limejificha kwenye sura ya yule aliyekuwa na makasiriko. Unadhani ushindi unaleta hayo tu,hapana kuna mengi ambayo yanaletwa na ushindi ikiwa ni pamoja na furaha na kuhisi kwamba kila kitu unachogusa kinakutii na kile ambacho hauna mamlaka nacho kinakusikiliza kwa umakini. Ushindi upi ambao unaweza…

Read More

MUDA WA DHAHABU UMEBAKI UTUMIKE KWA UMAKINI

MUDA uliobaki kwa sasa ni wa dhahabu kwa timu zote ambazo zinajiandaa na msimu ujao wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa sasa siku zinahesabiki hasa kuelekea mwanzo wa msimu ujao ukizingatia kwamba Agosti 13 mchezo wa Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa. Huu mchezo ni maalumu kwa ajili ya ufunguzi wa ligi na…

Read More

MANARA ANAVYOGOMBANA NA MANARA MWENYEWE

“HAIWEZEKANI mpira ukaendeshwa kwa kulalamika lalamika, haiwezekani, niwapongeze sana TFF, Bodi ya Ligi na Serikali kwa kusimamia nidhamu ya mpira wa miguu ndani na nje ya uwanja wanatoa sapoti ligi inachezwa…..” Hizo ni baadhi ya kauli za msemaji wa mabingwa wa kihistoria Yanga SC, Haji Manara kipindi akiwa Simba ambapo alionyesha kuchukizwa waziwazi na kitendo…

Read More

TAIFA STARS MNA DENI KWA WATANZANIA,INAWEZEKANA

ILIKUWA ngumu kuweza kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza kutokana na mbinu kuonekana kuwa ngumu pia kwa timu zote mbili. Hakika kwa mwanzo mkiwa nyumbani licha ya kwamba Somalia wao walikuwa wenyeji bado wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars mna deni la kulipa. Hakika mashabiki wanapeda kushangilia na kuona matokeo yanapatikana kwa…

Read More

KAMBI POPOTE,TUWAPE WAZAWA MAJINA MAZURI

WAKATI timu kwa sasa zikipambana kusajili wachezaji na kushindana sehemu ya kuweka kambi ulikuwa muda sahihi wa kutambulisha uzi mpya wa msimu wa 2022/23   Kuweka kambi nje ya Tanzania ama ndani ya Tanzania sio jambo kubwa ila unafanya hivyo kwa malengo yapi hapo ni msingi muhim kuzingatiwa. Ndani ya Tanzania kuna sehemu nzuri na…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI KUU BARA 2021/22

ULE ubora wa wachezaji umeonekana kwa msimu wa 2021/22 kila aliyepewa nafasi alifanya kweli na mwisho wa siku kila mmoja kavuna kile ambacho amekipata. Wakati leo Julai 7 Bodi ya Ligi Tanzania wakitarajia kutoa tuzo kwa wachezaji waliofanya vizuri pamoja na kutangaza kikosi bora,hapa tunakuletea kikosi bora kwa msimu wa 2021/22. Mfumo utakaotumika ni ule…

Read More

REKODI ZA WANAOWANIA TUZO YA KIUNGO BORA BONGO

SUALA la muda tu leo kwa wachezaji na watu wa mpira kuweza kupokea tuzo kwa msimu wa 2021/22 kupitia kwa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Ni Julai 7 zinatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Rotana Hotel, hapa Spoti Xtra inakuletea walichokifanya mastaa wanaowania tuzo ya kiungo bora kwa msimu wa 2021/22 ambapo wote wanatoka kikosi…

Read More

UPEPO WA USAJILI UNAHITAJI UMAKINI MKUBWA

IKIWA umetulia kwa sasa na kutazama upepo ambavyo upo lazima utasikia kuhusu namna ambavyo kila mwenye nguvu anaingia sokoni kusaka kile ambacho anakihitaji. Huu ni upepo mzuri hasa kwa kila mmoja kupata kile ambacho anakitaka muda huu wa kufanya maandalizi ya usajili kwa wachezaji ambao wanahitajika. Wapo wachezaji ambao wameshapewa mkono wa kwa heri mapema…

Read More

MSIMU UMEKWISHA,KAZI INAHITAJIKA KWA MSIMU UJAO

ULIKUWA ni msimu mzuri kwa kila mmoja na mashabiki wameona hali halisi hasa maana ile ya mpira kuchezwa kwa ushindani na uwazi ndani ya dk 90. Suala la kushuka daraja na bingwa hilo limeweza kuwa miongoni mwa taarifa ambazo zipo mikononi mwa familia ya michezo kwa wakati huu. Champioship imeshatoa timu zake mbili ambazo zitashiriki…

Read More