Saleh

ARSENAL YAMOTO, YAICHAPA SPURS 3-1

LONDON is red unaambiwa baada ya Arsenal kushinda mchezo wao wa Ligi Kuu England dhidi ya Spurs. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Emirates ulikuwa ni wa ushindani mwanzo mwisho kwa timu zote kusaka ushindi. Bao la ufunguzi kwa Arsenal lilifungwa na Thomas Partey dakika ya 20 liliwekwa usawa na staa wa Spurs, Harry Kane dakika…

Read More

NABI ATAMBA NA WACHEZAJI WAKE WA KAZI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mechi zao zote za kitaifa na kimataifa kutokana na uwepo wa wachezaji wenye uwezo. Mchezo ujao Yanga unatarajiwa kuchezwa Oktoba 3,2022 utakuwa wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting na kete yao inayofuata kimataifa itakuwa dhidi ya Al Hilal, Uwanja wa Mkapa,…

Read More

MANAHODHA SIMBA NA DODOMA JIJI TAMBO TUPU

MOHAMED Hussein, nahodha msaidizi wa Simba amesema wapo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji. Huo ni mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku Uwanja wa Mkapa. Beki huyo amebainisha kwamba wanatambua ukubwa wa Dodoma Jiji kweye ushindani hivyo watajitahidi kutafuta ushindi. “Tupo tayari kwa ajili ya mchezo wetu…

Read More

MECHI ZA SIMBA, YANGA, AZAM KUPANGIWA TAREHE UPYA

MICHEZO mitatu ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 itapangiwa tarehe mpya tofauti na ile ya awali ambayo imepangwa. Kwa mujibu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imeeleza kuwa imeamua kufanya hivyo kuzipa muda timu shiriki kimataifa kufanya maandalizi. Mechi hizo ilikuwa ni pamoja na ule mchezo wa Singida Big Stars dhidi ya…

Read More

WAZAWA KWENYE VITA YAO LEO, UWANJA WA MAJALIWA

MATHEO Anthony, mzawa anayekipiga ndani ya KMC akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwezi ndani ya KMC kwa Septemba anatarajiwa kukutana na staa namba moja wa Namungo Relliats Lusajo. Lusajo yeye ana tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Agosti ndani ya ligi na ni namba moja kwa utupiaji akiwa na mabao matano msimu…

Read More

WAJELAJELA WASHINDA MBELE YA AZAM FC

AZAM FC imeyeyusha pointi tatu kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo wa ligi ulichezwa Uwanja wa Sokoine ambapo dakika 45 za mwanzo ngoma ilikuwa ngumu kwa timu zote mbili. Bao la ushindi lilifungwa na mshambuliaji Jeremia Juma ambaye alitumia pasi ya Ezikiel…

Read More

IBRA CLASS ASHINDA KWA K.O MBELE YA MMEXICO

BONDIA Mtanzania Ibra class amefanikiwa kumchapa bondia Alan Pina anayetoka Mexico kwenye Pambano la raundi 12. Pambano hilo lilikuwa na vuta nikuvute nyingi lakini halikuwa la ubingwa lililofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam. Tangu Mwanzo wa pambano hilo Pina alionyesha upinzani mkali kwa Ibrahimu Class mpaka ilipofika raundi ya 9 na kumfanya Mtanzania huyo ashinde kwa…

Read More

VIDEO: YANGA WAMVAA PRIVA KUVAA UZI WA SIMBA

SHABIKI wa Yanga ameabinisha kuwa hakutarajia kuhusu ujio wa Ally Kamwe ndani ya Yanga na amefurahi kuskia kwamba amepewa nafasi hiyo, kuhusu Priva akiwa na jezi za Simba wamebainisha kuwa kijana huyo ni msomi na mwanasheria ana jezi nyingi amazo amevaa ikiwa ni pamoja na Coastal Union haina maana kwamba yeye ni Simba lialia

Read More

MERIDIANBET WAONGOZA ZOEZI LA USAFI UPANGA

Kampuni ya meridianbet imeongoza zoezi la usafi katika maeneo ya bustani inayomilikiwa na serikali Upanga, Mtaa wa Charambe. Serikali ya mtaa wa Charambe pia ilishiriki zoezi hili.   Kampuni hii imeshirikisha wadau mbalimbali wanaozunguka eneo hilo, wakiwemo wafanyakazi na wafanyabiashara wa maeneo hayo. Serikali ya mtaa, ikiwakilishwa na mwenyekiti na mtendaji nao walishiriki kuunga mkono…

Read More

MTANZANIA IBRA CLASS, MMEXICO PINA KUMALIZA UBISHI LEO

BONDIA Mtanzania Ibrahim Class anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mpinzani wake kutoka Mexico, Gustavo Pina katika pambano la kimataifa la uzito wa feather litakalofanyika leo kwenye ukumbi wa Mlimani City. Akizungumza mara baada ya kupima uzito jana, Pina alisema kuwa kamwe hawezi kupoteza mapambano mawili mfululizo na amekuja ili kurekebisha rekodi yake baada ya…

Read More