
SIRI ZA WAPINZANI WA YANGA ZAVUJISHWA
KOCHA Mkuu wa Kipanga FC, Hassani Kitimbe amewaondoa hofu Yanga kwa kuwaambia wana nafasi ya kufuzu makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuwafunga wapinzani wao, Club Africain ya nchini Tunisia. Timu hizo zitavaana katika mchezo wa Play-Off wa Kombe la Shirikisho keshokutwa Jumatano baada ya ule wa awali kutoka suluhu kwenye Uwanja wa Mkapa,…