Saleh

MSUVA APATA TIMU MPYA

NYOTA mzawa Simon Msuva ameweka wazi kuwa ni furaha kwake kuweza kuanza changamoto mpya katika Klabu ya Alqadsiah ya Saudi Arabia. Winga huyo hakuwa na timu kwa muda kutokana na kushughulikia kesi yake FIFA kuhusu mkataba wake na malipo na mwisho wa siku aliweza kushinda. Alikuwa anatajwa kuweza kurejea ndani ya klabu yake ya zamani…

Read More

USHINDI MEZANI NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!

Mchezo wa Titan Roulette    Kama iliivyo ada, Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa,Odds kubwa na Bonasi kedekede. Meridianbet inakuletea mchezo bomba wenye miondoko ya kizamani unaojulikana kama Titan Roulette. Mchezo huu uliotengenezwa na watenganezaji wa michezo ya kasino maarufu kama Expanse Studios utakaoupata kwenye Kasino ya Mtandoni ya Meridianbet. Titan Roulette ni mchezo wenye…

Read More

BEKI WA SIMBA ATAJA KILICHOMVUTA SIMBA

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba, Mohamed Ouattara amebainisha kuwa alifuatilia malengo ya timu hiyo na kuweza kukubali kusaini katika timu hiyo. Kapewa dili la miaka miwili kuitumikia Klabu ya Simba ambayo inanolewa na Kocha Mkuu Zoran Maki raia wa Serbia. Beki huyo amebainisha kwamba anamatumaini makubwa ya kuweza kufanya vizuri ndani ya timu…

Read More

KIBAYA NI MALI YA IHEFU FC

JAFARY Kibaya nyota aliyekuwa anakipiga ndani ya Mtibwa Sugar sasa ni mali ya Ihefu FC ya Mbeya baada ya kutambulishwa jana Julai 22,2022. Nyota huyo anakuwa miongoni mwa nyota wa mwanzo kutangazwa kwenye timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu,Zuber Katwila. Kibaya amesema:”Ni muda wa kutoa shukran zangu za dhati kwenu hakika mlinilea na kunikuza vizuri…

Read More

RAIS SENEGAL AWAPONGEZA SAKHO,MANE

 RAIS wa Senegal Macky Sall amempongeza mshambuliaji wa Simba raia wa Senegal Pape Ousmane Sakho kwa kutwaa tuzo ya bao bora la mashindano ya CAF.  Rais Sall amempongeza Sakho sambamba na wachezaji wengine wa Taifa hilo akiwemo mshambuliaji wa Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani Sadio Mane, Golikipa wa Chelsea Edouard Mendy na mchezaji…

Read More

GREALISH ABAINISHA KUWA HAALAND HATAKAMATIKA

KIUNGO mshambuliaji wa Manchester City, Jack Grealish ametabiri kuwa mshambuliaji mpya wa timu hiyo Erling Haaland hatakamatika katika msimu wake wa kwanza ndani ya Premier. Nyota huyo mwenye miaka 22 ameonekana kuwa karibu sana na Grealish baada ya kujiunga na kikosi hicho akiwa kwenye wiki ya kwanza ya mazoezi nchini Marekani. ‘Erling anaonekana yupo vizuri…

Read More

AZAM FC KUWEKA CHIMBO LA SIKU 20 MISRI

Kikosi cha Azam FC leo Julai 22 kimeelekea Misri kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya Ligi Kuu Bara pamoja na mashindano mengine ikiwa ni pamoja na Kombe la Shirikisho na kitaweka kambi jijini El Gouna, Misri kwa siku 20. Kabla ya kukwea pia kuelekea Misri Azam FC wao walianza kambi ya ndani kwa ajili…

Read More

KAMBI YA YANGA KIGAMBONI NI LEO

 MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga leo wanaanza kambi yao rasmi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Yanga chini ya Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi inaanza kambi hiyo ya ndani baada ya ule mpango wa kuweka kambi yao nchini Tunissia kusitishwa. Awali kambi yao ilitarajiwa kuwa nchini Tunissia lakini kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni…

Read More

ISHU YA UWANJA YAMSHANGAZA KOCHA,KESHO STARS KAZINI

KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Kim Poulsen amesikitishwa na kitendo cha Mamlaka za soka kuinyima ruhusa timu hiyo ya Taifa kupata nafasi ya kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.  Poulsen amebainisha kuwa anajisikia vibaya na anshindwa kuelewa dhana ya kuinyima timu ya taifa faida ya kufanya mazoezi na maandalizi ya…

Read More

BEKI MPYA ATAMBULISHWA SIMBA LEO

RASMI leo Julai 22 Simba imemtambulisha beki mpya ambaye atakuwa kwenye kikosi chao kwa msimu wa 2022/23 katika mashidano ya kitaifa na kimataifa akichukua mikoba ya Pascal Wawa ambaye aliachwa rasmi na Simba. Simba wenyewe wamemuita beki kisiki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chao…

Read More

KANE AINGIA ANGA ZA BAYERN MUNICH

 BAYERN Munich inatajwa kuwania saini ya  Harry Kane ambaye anacheza ndani ya Spurs inayoshiriki Ligi Kuu England. Kane mkataba wake ndani ya Spurs umebakiza miaka miwili hivyo ikiwa watakuwa wanahtaji saini yake wanapaswa kuvunja mkataba wake mazima. Nyota huyo ana umri wa miaka 28 aliletwa duniani mwaka 1994 hivyo bado ana umri wa kuendelea kupambana…

Read More

ALIOU CISSE,KOCHA BORA CAF

ALIOU Cisse, amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwaka na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Aliou Cisse, 46, aliiongoza Senegal kushinda kombe lao la kwanza la Mataifa ya Afrika nchini Cameroon, mapema mwaka huu, baada ya kuishinda Misri kwa mikwaju ya penalti. Pia ameiongoza Simba wa Teranga kufuzu kwa Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka huu…

Read More