Saleh
BREAKING:JEMBE JIPYA SIMBA LATAMBULISHWA
UONGOZI wa Simba umemtambulisha nyota wao mpya Jean Baleke.
Nyota huyo ni mshambuliaji ambapo amepewa dili la miaka miwili kuwa ndani ya kikosi hicho ambacho...
MUSONDA AANZA MATIZI YANGA
JEMBE jipya la Yanga Kennedy Musonda limeanza matizi ndani ya kikosi kwa ajili ya maandalizi ya mechi za msimu wa 2022/23.
Nyota huyo ametambulishwa rasmi...
ARSENAL HAWAZUILIKI
ARSENAL hii ya Mikel Arteta ukigoma kufungwa unajifu ga mwenyewe kisha wanakufunga.
Imekuwa hivyo ugenini baada ya dakika 90 ubao umesoma Tottenham 0-2 Arsenal.
Ni bao...
MZEE WA KUWAJAZA APEWA MKONO WA ASANTE JANGWANI
HERITIER Makambo amepewa mkono wa asante ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi.
Makambo alirejea ndani ya kikosi cha Yanga baada...
MUSONDA MTU WA KAZI, SABABU ZA KUPEWA DILI YANGA
MUSONDA mtu wa kazi, sababu za kupewa dili Yanga ipo hivi
SIMBA YAAMBULIA SARE DUBAI
SIMBA imepata sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow nchini Dubai kwenye mchezo wa kirafiki.
Dakika 45 za mwanzo Simba ilikuwa imefungwa mabao...
WATATU KUIKOSA IHEFU KESHO
KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Ihefu mastaa watatu wanatarajiwa kuukosa mchezo huo.
Yanga inayonolewa na Kocha...
SIMBA YAMTAMBULISHA MWAMBA HUYU
ISMAEL Sawadogo kiungo mkabaji raia wa Burkina Faso ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Simba.
Ni raia wa Burkina Faso ameletwa duniani 1996 ana miaka...
KENYA IMEWASIMAMISHA KAZI WACHEZAJI 16 NA MAKOCHA KWA KUPANGA MATOKEO
Shirikisho la soka nchini Kenya limewasimamisha kazi wachezaji 14 na makocha wawili kwa tuhuma za upangaji matokeo baada ya kupokea taarifa kuhusu udanganyifu katika...
JISHINDIE MIHELA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!
Mchezo wa Blackjack Live
Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo...
LIVERPOOL YANYOOSHWA NA BRIGTON, TRENT HANA FURAHA
NGOMA imepigwa kinomanoma mpaka wenyewe wakaona isiwe tabu wakaacha pointi tatu mazima Uwanja wa Falmer.
Ni katika mchezo wa Ligi Kuu England uliowakutanisha miamba Brighton...
SIMBA, MAKUSU MAMBO SAFI
TAARIFA kutoka DR Congo zinaeleza kuwa Klabu ya Simba ipo katika hatua nzuri za kukamilisha usajili wa mshambuliaji Jean Marc Makusu Mundele.
Simba kwa sasa...
GREALISH AFUNGA KWENYE DABI ALICHOSHUHUDIA HAJAAMINI
SUPER Jack Grealish alianza kupeleka furaha kwa Manchester City kwenye mchezo wa Dabi lakini meza ilivyopinduliwa hakuamini.
Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja...
YACOUBA NA YANGA, MAISHA LAZIMA YAENDELEE
ALIKUWA moja ya wachezaji tegemeo ndani ya kikosi cha Yanga kwenye eneo la ushambuliaji ambapo aliunda pacha nzuri na Deus Kaseke.
Yacouba amewaaga mabosi wa...
AZAM FC WAELEKEZA NGUVU HUKU
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa unawekeza nguvu zao zote kwenye Ligi Kuu Bara na Kombe la Azam Sports Federation ambalo...