Skip to content
Sunday, June 14, 2026
  • New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50
  • Moto wa Kombe la Dunia Waendelea, Vigogo Watatu Kushuka Dimbani
  • Australia Yaanza Kwa Kishindo Kombe la Dunia kwa Kuifunga Uturuki 2-0
  • Morocco Yaizuia Brazil ya Ancelotti, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50
  • Moto wa Kombe la Dunia Waendelea, Vigogo Watatu Kushuka Dimbani
  • Australia Yaanza Kwa Kishindo Kombe la Dunia kwa Kuifunga Uturuki 2-0
  • Morocco Yaizuia Brazil ya Ancelotti, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2023
  • January
  • 15
  • SIMBA YAAMBULIA SARE DUBAI
  • International
  • Sports

SIMBA YAAMBULIA SARE DUBAI

Saleh3 years ago01 mins

SIMBA imepata sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow nchini Dubai kwenye mchezo wa kirafiki.

Dakika 45 za mwanzo Simba ilikuwa imefungwa mabao hayo mawili.

Kipindi cha pili walifanya kazi kubwa kusaka ushindi lakini wakagotea kwenye sare hiyo.

Mabao yote ya Simba yamefungwa na mzawa Habib Kyombo.

Post navigation

Previous: WATATU KUIKOSA IHEFU KESHO
Next: MUSONDA MTU WA KAZI, SABABU ZA KUPEWA DILI YANGA

Related News

New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50

Saleh17 minutes ago 0

Moto wa Kombe la Dunia Waendelea, Vigogo Watatu Kushuka Dimbani

Saleh3 hours ago 0

Australia Yaanza Kwa Kishindo Kombe la Dunia kwa Kuifunga Uturuki 2-0

Saleh3 hours ago 0

Morocco Yaizuia Brazil ya Ancelotti, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Saleh9 hours ago3 hours ago 0
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.