Skip to content
Wednesday, April 29, 2026
  • Mshindi lazima apatikane leo Yanga SC vs Simba SC, Muungano CUP
  • Ligi ya Mabingwa: Arsenal na Atletico Madrid Kucheza leo, Soma Uchambuzi Hapa
  • Bayern Munich vs PSG: Mechi ya Maajabu Yamalizika kwa Ushindi wa 5-4 kwa Wenyeji
  • Meridianbet Yaleta Tumaini kwa Wagonjwa wa Hospitali ya Mwananyamala

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Mshindi lazima apatikane leo Yanga SC vs Simba SC, Muungano CUP
  • Ligi ya Mabingwa: Arsenal na Atletico Madrid Kucheza leo, Soma Uchambuzi Hapa
  • Bayern Munich vs PSG: Mechi ya Maajabu Yamalizika kwa Ushindi wa 5-4 kwa Wenyeji
  • Meridianbet Yaleta Tumaini kwa Wagonjwa wa Hospitali ya Mwananyamala

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2023
  • January
  • 15
  • SIMBA YAAMBULIA SARE DUBAI
  • International
  • Sports

SIMBA YAAMBULIA SARE DUBAI

Saleh3 years ago01 mins

SIMBA imepata sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow nchini Dubai kwenye mchezo wa kirafiki.

Dakika 45 za mwanzo Simba ilikuwa imefungwa mabao hayo mawili.

Kipindi cha pili walifanya kazi kubwa kusaka ushindi lakini wakagotea kwenye sare hiyo.

Mabao yote ya Simba yamefungwa na mzawa Habib Kyombo.

Post navigation

Previous: WATATU KUIKOSA IHEFU KESHO
Next: MUSONDA MTU WA KAZI, SABABU ZA KUPEWA DILI YANGA

Related News

Mshindi lazima apatikane leo Yanga SC vs Simba SC, Muungano CUP

Saleh11 minutes ago 0

Ligi ya Mabingwa: Arsenal na Atletico Madrid Kucheza leo, Soma Uchambuzi Hapa

Saleh1 hour ago 0

Bayern Munich vs PSG: Mechi ya Maajabu Yamalizika kwa Ushindi wa 5-4 kwa Wenyeji

Saleh9 hours ago 0

Ujue muda wa mechi ya Yanga SC vs Simba SC

Saleh22 hours ago 0
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.