Saleh
CHAMA ATOA TAMKO SIMBA, BEKI MPYA YANGA ANATUA LEO
CHAMA atao tamko Simba, beki mpya Yanga SC anachomolewa kambini, kutua leo Dar ndani ya Championi Ijumaa
PUMZIKA KWA AMANI BANDA, UMAKINI UONGEZEKE KUOKOA NGUVU KAZI
PUMZIKA kwa amani Mohammed Banda, uangalizi zaidi kwa timu za vijana unahitajika kuokoa wengine.
Ni pigo kwenye ulimwengu wa michezo Bongo lakini ni muhimu pia...
JEMBE JIPYA MTIBWA SUGAR LAANZA KAZI
INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar Vitalis Mayanga ataonekana ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani akitumia jezi namba 27.
Alikuwa anakipiga ndani...
NABI AWACHAMBUA MAYELE, MUSONDA,MFUMO WABADILISHWA SIMBA
Nabi awachambua Mayele, Musonda, Mbrazil abadili mfumo Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
YANGA MIPANGO YAO IPO HIVI
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kikubwa ambacho amewaambia wachezaji wake ni kucheza kwa umakini kila mechi.
Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora...
RIPOTI KUAMUA HATMA YA TAMBWE, KAGERE, SINGIDA BIG STARS
UONGOZI wa Singida Big Stars umeweka wazi kuwa hatma ya nyota wao ambao hawajashiriki Kombe la Mapinduzi itajulikana hivi karibuni baada ya ripoti kukamilika
Ofisa...
EXPANSE STUDIO NA MERIDIANBET KUZINDUA SLOTI MPYA
Wiki chache tu baada ya kuzindua michezo yao ya hivi karibuni- Wild White Whale na Zombie Apocalypse hatimaye sasa Expanse Studio inakuja Tanzania, kuonyesha...
KUPATWA KWA PIRA DUBAI UWANJA WA MKAPA
DAKIKA 90 zilikuwa za kazi huku pira Dubai likionekana kupatwa tabu mbele ya Mbeya City ambao walionesha ushindani wakitaka kusepa na pointi.
Dakika tatu ziliwatosha...
MSHAHARA ANAOVUTA NYOTA MPYA SIMBA NI BALAA TUPU
MSHAHARA anaouvuta nyota mpya wa Simba Siwadogo ni balaa tupu, kaikamua Simba mkwanja mrefu
UJUZI WA MBRAZIL KUONEKANA LEO KWA MKAPA
MASHABIKI wa Simba leo Januari 18,2023 wanatarajia kuona ujuzi wa Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ambaye anashikirikiana na mzawa Juma Mgunda..
Mchezo wa leo ni dhidi...
VIDEO:AMBANGILE AUCHAMBUA USAJILI WA SIMBA/YANGA
AMBANGILE mchambuzi wa mpira Bongo ameuchambua mchezo wa Ligi Kuu Bara Yanga 1-0 Ihefu na usajli wa Bongo
YANGA WAANZA MAZOEZI NA KIPA WA MAKOCHA AMEREJEA
STAA mpya Yanga ameanza mazoezi na wachezaji wenzake kocha wa makipa naye amerejea
ISHU YA MORRISON MAAMUZI MAZITO, MASHINE MPYA SIMBA HADHARANI LEO
ISHU ya Morrison maamuzi mazito, mashine mpya Simba hadharani leo ndani ya Championi Jumatano
IHEFU YATAMBULISHA MAJEMBE MAWILI MAPYA KUTOKA MSIMBAZI
NYOTA Nelson Okwa ambaye ni mali ya Simba kaibuka ndani ya kikosi cha Ihefu chenye maskani yake Mbeya, nyanda za juu Kusini.
Hakuwa na msimu...
VIDEO:SEMAJI LA CAF LAMBACHAMBUA NYOTA MPYA/CHAMA NA NTIBA
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya Simba amewazungumzia wachezaji wapya wa timu hiyo pamoja na wale ambao wapo katika...
WIKI HII NI USHINDI TU MERIDIANBET KWA ODDS BOMBA, AC MILAN...
Ukiachana na burudani za soka ulaya, utamu mwingine utakuwa kwenye Milan Derby kati ya AC Milan dhidi ya Inter Milan ni mashindano ya Supercoppa...
JEMBE JIPYA YANGA LAANZA MAZOEZI
BAADA ya kukamilisha usajili wake ndani ya kikosi cha Yanga, hatimaye kipa namba mbili wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameanza...