Saleh

TUSUA MTONYO NA BETI ZA BURE ZA AVIATOR

Hii ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwa wasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwaka huku ukipata maokoto ni kuwa rubani wa maisha yako kupitia ndege ya Aviator kutoka Meridianbet. Kuanzia Novemba 1 hadi Novemba 30, 2023 kutakuwa na Promosheni maalum kwa wachezaji wa Aviator kutoka Meridianbet kasino mtandaoni. Watu 10…

Read More

MUUNGANIKO WA KAZI YANGA WAPEWA ZIGO JINGINE

MCHORA ramani za ushindi ndani ya kikosi cha Yanga, Miguel Gamondi amewapa majukumu mengine mastaa wake wakiongozwa na muunganiko wake matata wa PAM unaowajumuisha Pacome Zouzoah, Aziz KI na Maxi Nzengeli kuendeleza kasi yao. Ikumbukwe kwamba PAM imehusika kwenye mabao ya kufunga 18 ambapo Pacome ana mabao manne huku Aziz KI na Maxi hawa wakiwa…

Read More

SIMBA YAGAWANA POINTI NA NAMUNGO NYUMBANI

KIKOSI cha Simba kimegawana pointi moja na Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba 1-1 Namungo ikiwa ni mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Namungo walianza kupata bao kipindi cha kwanza kupitia kwa mshambuliaji wa Relliats Lusajo. Lusajo alifunga bao hilo dakika ya 29…

Read More

INJINIA HERSI ATOA AHADI NZITO

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said, amewataka mashabiki wa timu hiyo kujivunia timu yao, huku akitamka kuwa upo uwezekano mkubwa wa kupata ushindi wa mabao zaidi ya matano msimu huu watakapokutana tena na Simba. Jeuri hiyo imekuja baada ya wikiendi iliyopita, Yanga kufanikiwa kuifunga Simba mabao 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye…

Read More

NYONI ATUMA UJUMBE SIMBA

KIRAKA ndani ya kikosi cha Namungo, Erasto Nyoni ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Nyoni ameibuka ndani ya Namungo msimu wa 2023/24 baada ya kupewa Thank You ndani ya kikosi cha Simba. Leo Novemba 9 2023 Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo ikiwa ni mchezo wa…

Read More

CHAMA ASHTUA NA KASI YAKE NDANI YA SIMBA

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama mkali wa pasi za mwisho Novemba 8 2023 anatimiza saa 792 za kuganda bila kushangilia pasi yake ya bao wala kufunga ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba Oktoba 5 2023 ilikuwa ni mara ya mwisho kwa staa huyo wa Simba raia wa Zambia kufunga ndani ya ligi kwa msimu…

Read More

SIMBA V NAMUNGO HAIJAWAHI KUWA RAHISI

KITAUMANA leo kwa wababe wawili ndani ya uwanja kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru. Ni Simba watakuwa nyumbani wakiikaribisha Namungo wauaji wa kusini kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na haitakuwa kazi rahisi kwa wote jasho litamwagika. Hapa tunakuletea baadhi ya hesabu zitakazoongeza ugumu kwa timu zote…

Read More

CHAMA KUMWAGA MAMILIONI Bet Winner

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha, Bet Winner kupitia promo code ya CHAMA inakupa nafasi ya kupata bonasi hadi Shilingi 390,000 punde utakapojiunga na kuweka salio kwenye akaunti yako. Bet Winner ambayo kwa sasa inakimbiza kwenye soko la wanaobet mtandaoni, imeipa nafasi promo code ya CHAMA (kwa herufi kubwa) kuwa ndio itakayowapa bonasi wateja wake wote…

Read More

MKIA UMALIZWE, WACHEZAJI WANALIA NA MENGI

MACHOZI ya wachezaji uwanjani yafutwe kwa vitendo na sio maneno yale ya kuwapa moyo kwamba haya yatapita. Kwenye mechi nyingi wanazocheza wapo wale wanaoumia kutokana na matokeo wengine hawajali. Ipo wazi kwamba katika dakika 90 za kutafuta matokeo yapo mengi ambayo yanatokea.Kikubwa ni viongozi kuangalia kipi kinachofanyika baada ya mchezo. Mashuhuda kwenye mchezo wa Kariakoo…

Read More

LAKINI SIMBA MNA UHAKIKA TATIZO NI ROBERTINHO?

MWANAMUZIKI mkazi wa mkoani Morogoro, Selemani Msindi ‘Afande Sele’ aliwahi kuimba ‘kama hip-hop itakufa ni nani anapaswa kuchunwa ngozi? Je, ni Producer, mapromota au wasanii?’ Tungo hii ilikuwa na ujumbe kuwa ni lazima atafutwe wa kuwajibika kutokana na kudorora na ikitokea mziki huo wa ‘kufokafoka’ ukafa, hasa baada ya mziki wa aina ya Bongo Fleva…

Read More