Yanga Yawatambulisha Hussein Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa FC

Klabu ya Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya baada ya kutangaza rasmi usajili wa wachezaji wawili kutoka Mashujaa FC ya Kigoma. Yanga imemaliza usajili wa mshambuliaji Hussein Mihambo, ambaye anajiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji kufuatia kuondoka kwa mshambuliaji Prince Mpumelelo…

Read More

Meridianbet Yaandika Historia, Yawa Mshirika Rasmi wa UFC Fight Night Serbia

Kwa mara ya kwanza, UFC inaleta mapigano yake nchini Serbia, na Meridianbet imepewa heshima ya kipekee kuwa mshirika rasmi wa tukio hilo. Agosti 1, 2026, Belgrade Arena itakuwa uwanja wa historia, na mashabiki wa michezo ya kupigana watashuhudia tukio lisilosahaulika. Meridianbet, iliyoanzishwa Serbia mwaka 2001, imekuwa bega kwa bega na michezo ya mapigano kwa miaka…

Read More