Coastal Union vs Simba SC kazi inaendelea
Coastal Union vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ligi Mei 21, 2025 kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. Huu utakuwa mchezo wa mzunguko wa pili, walipokutana mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo ulisoma, Simba SC 2-0 Coastal Union. Coastal Union kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 ina pointi…