Yanga SC yazitaka pointi tatu za KMC FC

KMC FC vs Yanga SC ni ratiba inayofuata ndani ya NBC Premier League leo Mei 6, 2026 Uwanja wa KMC Complex. KMC FC imecheza mchezo mmoja na mabingwa watetezi katika msimu huu na ilipoteza kwa kufungwa magoli 4-1 hivyo leo ni mchezo wa mzunguko wa pili. Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa…

Read More

Feisal Salum kinara utupiaji magoli Bongo

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ni kinara wa utupiaji magoli ndani ya BC Premier League. Katika mchezo wa Mei 5, 2026 uliochezwa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 Namungo FC. Goli la ushindi limefungwa na Feisal dakika ya 41 kwa mkwaju wa penati. Hivyo anafikisha magoli…

Read More

Ratiba ya mechi za NBC Premier League

MEI 6, 2026 NBC Premier League inaendelea ambapo kutakuwa na mechi tatu kali viwanja tofauti namna hii:- KMC FC vs Yanga SC, saa 10:00, Uwanja wa KMC Complex Simba SC vs JKT Tanzania, saa 12:15, Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo Mtibwa Sugar vs Dodoma Jiji FC, Uwanja wa Azam Complex, saa 2:15 usiku *** Imeandikwa…

Read More

Win&Go Yaongeza Msisimko: Meridianbet Watoa Nafasi ya Pili ya Ushindi

Katika michezo ya kubahatisha, wengi huamini kwamba ukikosa mara moja basi ndio mwisho. Lakini Meridianbet wameleta mtazamo mpya unaobadilisha kabisa mchezo, kwamba hata kushindwa kunaweza kuwa mwanzo wa ushindi. Kupitia kipengele cha Lucky Loser kwenye Win&Go, tiketi yako haimaliziki kuwa ya hasara hata kama namba zote 6 hazijatoka. Badala yake, inapata maisha mapya na kugeuzwa…

Read More