CLATOUS CHAMA AMEFUNGUKA HAYA KUHUSU SIMBA
CLATOUS Chama nyota wa Simba ameweka waz kuwa ushindani ni mkubwa ndani ya mechi ambazo wanacheza huku kikubwa ikiwa ni kupata ushindi na kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wana kazi ya kutafuta matokeo dhidi ya Al Ahly ya Misri