Home Sports CLATOUS CHAMA AMEFUNGUKA HAYA KUHUSU SIMBA Sports CLATOUS CHAMA AMEFUNGUKA HAYA KUHUSU SIMBA March 17, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp CLATOUS Chama nyota wa Simba ameweka waz kuwa ushindani ni mkubwa ndani ya mechi ambazo wanacheza huku kikubwa ikiwa ni kupata ushindi na kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wana kazi ya kutafuta matokeo dhidi ya Al Ahly ya Misri