Home Sports CLATOUS CHAMA AMEFUNGUKA HAYA KUHUSU SIMBA

CLATOUS CHAMA AMEFUNGUKA HAYA KUHUSU SIMBA

CLATOUS Chama nyota wa Simba ameweka waz kuwa ushindani ni mkubwa ndani ya mechi ambazo wanacheza huku kikubwa ikiwa ni kupata ushindi na kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wana kazi ya kutafuta matokeo dhidi ya Al Ahly ya Misri

Previous articleMWAMBA HUYU KWA MIKATO YA KIMYA YANGA BALAA
Next articleSINGIDA FOUNTAIN GATE YAPETA, KADI ZATAWALA