MZEE wa pasi milioni ameweka wazi kuwa wachezaji wa Simba wamekuwa na spidi huku kipa Ayoub Lakred akiwa ni moja ya kipa anayefanya kazi kwa umakini kwenye lango kwa upande wa Uwanja wa Azam Complex ameweka wazi kuwa ni moja ya uwanja bora huku kwenye anga la kimataifa wana kisasi na Al Ahly Ligi ya Mabingwa Afrika.
Team Canada forward Jonathan David (#7) watches as his shot is saved by the Iceland goalkeeper during an international friendly match between Canada and Iceland at BMO Field in Toronto, Ontario, Canada, on March 28, 2026. (Photo by Indrawan Kumala/NurPhoto) (Photo by Indrawan Kumala / NurPhoto via AFP)