Home Sports KIUNGO MGUMU WA KAZI AMEREJEA SIMBA Sports KIUNGO MGUMU WA KAZI AMEREJEA SIMBA March 16, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp BAADA ya kutokuwa fiti kwa muda tayari hali ya kiungo mgumu ndani ya kikosi cha Simba, Sadio Kanoute, (Putin) amerejea kwenye ubora wake ikiwa ni suala la muda kujua lini atarejea uwanjani kutimiza majukumu yake kwa ushirikiano na wachezaji wenzake.