ORODHA YA WACHEZAJI SIMBA WATAKAOPIGWA PANGA
KUNA panga linapita ndani ya kikosi cha Simba ambapo wachezaji wapo ambao watapewa mkono wa asante na wengine kupata changamoto mpya kwenye timu nyingine kwa msimu wa 2023/24
KUNA panga linapita ndani ya kikosi cha Simba ambapo wachezaji wapo ambao watapewa mkono wa asante na wengine kupata changamoto mpya kwenye timu nyingine kwa msimu wa 2023/24
BAKARI Mwamnyeto nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa moja ya sababu kubwa iliyofanya wakakosa ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania ni sehemu ya kuchezea kutokuwa rafiki. Mchezo wa mzunguko wa pili kati ya JKT Tanzania na Yanga ulichezwa Aprili 24 2024 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 23 lakini uliahirishwa kutokana…
MWAMBA Fabrice Ngoma na Zanzibar ni damudamu kutokana na kuwa katika kiwango bora kama ambavyo ilikuwa kwenye Mapinduzi 2024 alipoibuka mchezaji bora katika Michuano hiyo. Hivyo nyota huyo kwenye uwanja eneo la kiungo amekuwa na balaa zito wakiwa visiwani jambo linalofanya akombe tuzo hizo mara kwa mara. Kwa mara nyingine tena Simba wamerejea Zanzibar, Uwanja…
AMEIBUKA na neno hili mwamba Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi
Utaandaa matunda yako unayotaka kutumia unaweza kutumia Strawberry, Cantaloupe ni jamii ya matunda ya limao, embe, parachichi, halafu kwenye kusaga usitumie maji tumia juisi ya Apple, au zabibu, maziwa na asali pamoja na sukari nyeupe. Jisajili Meridianbet upate bonasi za kasino na michezo mingi ya bure. Utachagua unaanza kusaga matunda gani kwa mfano utaanza na…
KUNA vita nyingine kubwa kwenye msako wa kiatu cha ufungaji bora ambapo kuna mwamba mmoja kutoka Yanga na mwingine kutoka Azam FC kila mmoja akiwa kwenye ubora wake katika mechi ambazo anacheza.
LICHA ya mazingira ya Uwanja wa Meja Isamuhyo kutokuwa rafiki kwa timu zote mbili ngoma imekuwa ngumu kwa wote wawili kugawana pointi mojamoja. Ubao umesoma JKT Tanzania 0-0 Yanga baada ya filimbi ya mwisho kwa mwamuzi kupigwa katika mchezo wa mzunguko wa pili. Ikumbukwe kwamba mzunguko wa kwanza JKT Tanzania walishuhudia ubao wa Uwanja wa…
Usiku wa leo zitapigwa mechi mbalimbali kwenye ligi tofauti tofauti barani ulaya ila kwa kiwango kikubwa macho yatakua pale Uingereza kwenye dimba la Goodson Park kwenye mchezo wa Derby ya Merseyside. Derby ya Merseyside imemua moja ya derby zenye mvuto mkubwa nchini Uingereza kila ambapo inakua inapigwa, Lakini leo itakwenda kua na mvuto wa tofauti…
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kombe la Muungano dhidi yaKVZ ambao unatarajiwa kuchezwa leo Aprili 24, Uwanja wa New Amaan Complex. Kikosi hicho kinatarajiwa kuwa na kazi dakika 90 kusaka matokeo ambapo kwenye mechi zake tano mfululizo kimekwama kupata ushindi. Matola amesema; “Tunatambua umuhimu wa mchezo wetu…
Je, umewahi kucheza mchezo wa droo wenye droo 10? Ikiwa hujawahi, sasa unapata nafasi kamili ya kufanya hivyo. Kupitia Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna furaha inakusubiri kupitia droo moja tu ya ushindi. Taarifa za Msingi 420 Blaze It ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma 1×2 Gaming na una droo 10. Kila…
BEKI wa kazi ngumu Dickson Job tuzo ya beki bora inanukia kwake kwa mara nyingine tena kutokana na ushirikiano mkubwa uliopo katika timu hiyo. Mbali na Job ambaye ni mchezaji wa kwanza kufunga bao ndani ya Ligi Kuu Bara ilikuwa dhidi ya KMC kuna kitasa kingine kinaitwa Bacca kitampa ushindani mkubwa kujua nani atakuwa nani….
INATAJWA kwamba Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha huenda akasepa ndani ya timu hiyo kutokana na mwendo ambao upo kwa kushindwa kupata matokeo kwenye mechi za ushindani ambazo wanacheza hivi karibuni.
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ameweka wazi kuwa kuwa bora ndani ya uwanja ni kufuata maelekezo ya mwalimu. Fei amekuwa bora msimu wa 2023/24 akiwa na uzi wa Azam FC ni mabao 14 katupia ndani ya ligi akiwa namba moja kwa wazawa wenye mabao mengi. Nyota huyo bao la 14 alipachika kwenye mchezo…
Uingereza kutapigwa mechi kubwa na ya kibabe kabisa katika ya miamba miwili ya soka kutoka jiji la London klabu ya Arsenal watacheza dhidi ya Chelsea. Mchezo huu ni mchezo wa Derby kwani vilabu vyote vinatoka katika jiji la London na timu zinazokutana pia ni kubwa, Hivo inatosha kuonesha mchezo wa leo utakaokwenda kupigwa katika dimba…
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga uliotarajiwa kuchezwa Aprili 23 2024 Uwanja wa Meja Isamuhyo umeahirisha. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao ulitarajiwa kuchezwa kwa dakika 90 kusaka mshindi ambaye angekomba pointi tatu. Timu zote mbili zilikuwa zimewasili uwanjani kwa ajili ya mchezo huo wa ligi uliokuwa…
KIKOSI cha Simba leo kimeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mashindano ya Muungano Cup 2024. Simba haijawa kwenye mwendo mzuri ndani ya ligi baada ya kukwama kuonyesha uwezo wake wa kutumia nafasi dhidi ya Yanga ndani ya Ligi Kuu Bara. Mzunguko wa kwanza ilipoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-5…
BENCHI la ufundi la JKT Tanzania limebainisha kuwa litacheza mechi zote ambazo zimebaki kama fainali ikiwa ni pamoja na mchezo wa leo dhidi ya Yanga. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Isamuhyo ambapo wenyeji watakuwa ni JKT Tanzania wenye pointi 22 wakiwa nafasi ya 15 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara. George Mketo, kocha msaidizi…