ANAONDOKA NDANI YA SIMBA MWAMBA HUYU
INAELEZWA kuwa kipa wa Simba, Ayoub Lakred huenda akasepa ndani ya kikosi cha Simba baada ya msimu wa 2023/24 kugota mwisho kwa kuwa ana ofa zaidi ya mbili mkononi mwake.
INAELEZWA kuwa kipa wa Simba, Ayoub Lakred huenda akasepa ndani ya kikosi cha Simba baada ya msimu wa 2023/24 kugota mwisho kwa kuwa ana ofa zaidi ya mbili mkononi mwake.
KAMPUNI ya michezo yakubashiri ya Parimatch imezindua michuano maalum ijulikanayo kwa jina la Parimatch Kitaa Cup 2024 yenye lengo la kuinua na kundeleza vipaji katika mpira wa miguu. Mashindano haya yanashirikisha jumla ya timu nane kutoka maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam kwa mujibu wa Mkuu wa Masoko wa kampuni hiyo, Levis Paul. Paul…
YANGA imetinga hatua ya fainali ya CRDB Federation Cup kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Ni dakika ya 104 bao la ushindi kwa Yanga limefungwa na Aziz KI katika mchezo wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Ni fainali ya nne kwa Yanga katika CRDB Federation Cup wanakwenda…
Hayawi hayawi sasa yamekuwa na Waswahili husema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha na hii inatupeleka moja kwa moja mpaka Uingereza ambapo ndio ligi iliyobaki pekee haijatoa bingwa wa EPL. Je ni Pep au Arteta? EPL leo katika dimba la Emirates, Arsenal watakuwa wakisaka pointi tatu za ubingwa dhidi ya Everton ambao wapo nafasi ya…
Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika imemalizika kwa sare tasa katika dimba la Olympique Hammadi Agrebi (Radès) kati ya Mabingwa mara nne Esperance Tunis dhidi ya Mabingwa mara 11 Al Ahly ya Misri. FT: Esperance 🇹🇳 0-0 🇪🇬 Al Ahly Mchezo wa fainali ya pili utakaopigwa Mei 25, 2024 katika dimba la Al…
JUMA Mgunda Kocha Mkuu wa Simba amesemaamesema kuwa kikubwa ambacho kinahitajika katika mechi zilizobaki ni kupata matokeo mazuri. Ni hesabu ndefu kwa Mgunda kupambaniakupambania nafasi ya pili dhidi ya Azam FC zote zikiwa na pointi 60 kibindoni baada ya kucheza mechi 27 msimu wa 2023/242023/24. Mchezo uliopita wa ligi Simba ilipata pointi tatu dhidi ya…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa YangaYanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa nusu fainali dhidi ya Ihefu unaotarajiwaunaotarajiwa kuchezwa leo Mei 19 2024 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. YangaYanga ni mabingwa watetezi wa CRDB Federation Cup walitwaa taji hilo kwa ushindi wa bao 1-0 Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga….
MATAJIRI wa Dar Azam FC chini ya Kocha Mkuu Yusuph Dabo wamefanikisha lengo la kutinga hatua ya fainali CRDB Federation Cup kwa ushindi wa mabao 3-0 Coastal Union. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, Azam FC wamekuwa wababe ndani ya dakika 90. Mabao mawili yamefungwa na Abdul Sopu ilikuwa dakika ya 42…
KUELEKEA kwenye mchezo wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup mabingwa watetezi wa taji hilo Yanga wamebainisha kwamba hesabu kubwa ni kufanya vizuri kwa kupata matokeo chanya. Yanga inakutana na Ihefu Mei 19 Uwanja wa CCM Kirumba kwenye nusu fainali ambapo mshindi atakutana na Azam FC kwenye fainali iliyopata ushindi dhidi ya Coastal Union ya…
Wakazi wa Chamazi Magengeni leo hii wamenufaika kwa kutembelewa na Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet pamoja na KMC na kupewa msaada wa vyakula kwaajili ya kujikimu. Kurejesha kwa jamii ndio kawaida ya Meridianbet na leo hii walifunga safari moja kwa moja hadi Chamazi Magengeni ambapo walifanikiwa kukutana na familia ambazo zina uhitaji na kutoa msaada…
Meridianbet kuna mchezo wa sloti wa kusisimua sana ambao utakufurahisha. tapenda kupata jokers na alama za siri kwenye safu kwani zinaweza kukuletea ushindi mkubwa. Ni wakati wa kuanza safari ya ushindi wa kiwango cha juu kwa kucheza kasino ya mtandaoni. Jisajili Meridianbet ongeza salio upate bonsai ya ukaribisho. Maelezo Muhimu Wild 81 ni…
MABINGWA mara 30 wa Ligi Kuu Bara wamebainisha kuwa wanakuja na mpango kazi mkubwa wa sherehe za ubingwa wa ligi kwa msimu wa 2023/24. Ipo wazi kuwa Yanga baada ya kucheza mechi 27 ikibakiwa na mechi tatu imetwaa taji la ligi chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Kwa sasa Yanga ipo Arusha kuelekea kwenye maandalizi…
WANAUME wa kazi Azam FC na Coastal Union wanatarajiwa kuvuja jasho ndani ya dakika 90 kusaka mshindi atakayetinga fainali kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya nusu fainali dhidi ya Azam FC. Ni Uwanja wa CCM Kirumba mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa timu hizo mbili kuwa na kazi kusaka ushindi. Ni mchezo unaotarajiwa kumtoa…
SIMBA inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 27 nafasi ya tatu ikiwa sawa pointi na Azam FC iliyo nafasi ya pili tofauti kwenye mabao ya kufunga na kufungwa. Michael Fred ambaye Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally anapenda kumuita fungafunga amebakisha mabao mawili kufikia rekodi ya mwamba Jean Baleke na…
MWAMBA Aziz KI ndani ya kikosi cha Yanga ni namba moja kwa wakali wa kucheka na nyavu akiwa ametupia mabao 15 na pasi 8 za mabao ambapo nguvu yake kubwa kwenye mguu wake wa kushoto katika kufunga mabao.
FT: LIGI Kuu Bara Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Dodoma Jiji 0-1 Simba Goal Michael Fred dakika ya 7 DODOMA Jiji wapo nyumbani Uwanja wa Jamhuri, Dodoma wakisaka pointi tatu mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Simba ikiwa ugenini nayo hesabu zake ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mchezo ambao una ushindani mkubwa….
LEGEND kwenye upande wa uandishi wa Habari za Michezo na Burudani Bongo, Saleh Ally, Jembe ameweka wazi kuwa timu ya taifa ya Tanzania ya Taifa Stars inazidi kuimarika taratibu na mechi za kirafiki zitakuwa na faida hapo baadaye kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa. Jembe amebainisha kuwa licha ya Stars kuanza kwa kuchechemea kwenye mchezo…